Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 6:25 - Swahili Revised Union Version

Hata walipomwona ng'ambo ya bahari, walimwambia, Rabi, wewe umekuja lini hapa?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wale watu walipomkuta Yesu ngambo ya pili wa ziwa walimwuliza, “Mwalimu, ulifika lini hapa?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wale watu walipomkuta Yesu ngambo ya pili wa ziwa walimwuliza, “Mwalimu, ulifika lini hapa?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wale watu walipomkuta Yesu ng'ambo ya pili wa ziwa walimwuliza, “Mwalimu, ulifika lini hapa?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Walipomkuta Isa ng’ambo ya bahari wakamuuliza, “Mwalimu, umefika lini huku?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Walipomkuta Isa ng’ambo ya bahari wakamuuliza, “Mwalimu, umefika lini huku?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hata walipomwona ng'ambo ya bahari, walimwambia, Rabi, wewe umekuja lini hapa?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 6:25
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na walipokwisha kuvuka, walifika nchi ya Genesareti.


na kusalimiwa masokoni, na kuitwa na watu, Rabi.


Bali ninyi msiitwe Rabi, maana mwalimu wenu ni mmoja, nanyi nyote ni ndugu.


Hata walipokwisha kuvuka, walifika nchi ya Genesareti, wakatia nanga.


Huko nyuma wanafunzi wakamsihi wakisema, Rabi, ule.