Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 6:24 - Swahili Revised Union Version

24 Basi mkutano, walipoona ya kuwa Yesu hayuko huko wala wanafunzi wake, waliingia mashuani wenyewe, wakaenda Kapernaumu wakimtafuta Yesu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Basi, hao watu walipogundua kwamba Yesu na wanafunzi wake hawakuwapo mahali hapo, walipanda mashua, wakaenda Kafarnaumu wakimtafuta.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Basi, hao watu walipogundua kwamba Yesu na wanafunzi wake hawakuwapo mahali hapo, walipanda mashua, wakaenda Kafarnaumu wakimtafuta.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Basi, hao watu walipogundua kwamba Yesu na wanafunzi wake hawakuwapo mahali hapo, walipanda mashua, wakaenda Kafarnaumu wakimtafuta.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Mara wale watu wakatambua kwamba Isa hakuwa hapo, wala wanafunzi wake. Wakaingia kwenye mashua hizo, wakaenda Kapernaumu ili kumtafuta Isa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Mara wale watu wakatambua kwamba Isa hakuwepo hapo, wala wanafunzi wake. Wakaingia kwenye mashua hizo, wakaenda Kapernaumu ili kumtafuta Isa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

24 Basi mkutano, walipoona ya kuwa Yesu hayuko huko wala wanafunzi wake, waliingia mashuani wenyewe, wakaenda Kapernaumu wakimtafuta Yesu.

Tazama sura Nakili




Yohana 6:24
11 Marejeleo ya Msalaba  

Na walipokwisha kuvuka, walifika nchi ya Genesareti.


nao walipomwona wakamwambia, Watu wote wanakutafuta.


Hata walipokwisha kuvuka, walifika nchi ya Genesareti, wakatia nanga.


Basi Yesu aliporudi mkutano ulimkaribisha kwa furaha, maana wote walikuwa wakimngojea.


Yesu akamwambia, Mama, unalilia nini? Unamtafuta nani? Naye, huku akidhania ya kuwa ni mtunza bustani, akamwambia, Bwana, ikiwa umemchukua wewe, uniambie ulipomweka, nami nitamwondoa.


wakapanda katika mashua, wakaanza kuivuka bahari kwenda Kapernaumu. Nako kumekwisha kuwa giza, wala Yesu hajawafikia.


(lakini zikaja mashua nyingine kutoka Tiberia mpaka karibu na mahali pale walipokula mikate, wakati Bwana aliposhukuru.)


Yesu akawajibu, akasema, Amin, amin, nawaambieni, Ninyi mnanitafuta, si kwa sababu mliona ishara, bali kwa sababu mlikula ile mikate mkashiba.


Maneno hayo aliyasema katika sinagogi, alipokuwa akifundisha, huko Kapernaumu.


Basi Wayahudi wakamtafuta kwenye sikukuu, wakasema, Yuko wapi yule?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo