Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 21:5 - Swahili Revised Union Version

Basi Yesu akawaambia, Wanangu, mna kitoweo? Wakamjibu, La.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, Yesu akawauliza, “Vijana, hamjapata samaki wowote sio?” Wao wakamjibu, “La! Hatujapata kitu.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, Yesu akawauliza, “Vijana, hamjapata samaki wowote sio?” Wao wakamjibu, “La! Hatujapata kitu.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, Yesu akawauliza, “Vijana, hamjapata samaki wowote sio?” Wao wakamjibu, “La! Hatujapata kitu.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa akawaambia, “Wanangu, je, mna samaki wowote?” Wakamjibu, “La.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa akawaambia, “Wanangu, je, mna samaki wowote?” Wakamjibu, “La.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi Yesu akawaambia, Wanangu, mna kitoweo? Wakamjibu, La.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 21:5
10 Marejeleo ya Msalaba  

Akatazama, kumbe! Pana mkate umeokwa juu ya makaa, na gudulia la maji, kichwani pake. Akala, akanywa, akajinyosha tena.


Umtumaini BWANA ukatende mema, Ukae katika nchi, upendezwe na uaminifu.


Hata kulipokuwa jioni, wanafunzi wake walimwendea, wakasema, Mahali hapa ni nyika tupu, na saa imekwisha pita; uwaage makutano, waende zao vijijini, wakajinunulie vyakula.


Walikuwa na visamaki vichache; akavibariki, akasema wawagawie na hivyo pia.


Na Mungu wangu atawajazeni kila mnachokihitaji kwa kadiri ya utajiri wake, katika utukufu, ndani ya Kristo Yesu.


Msiwe na tabia ya kupenda fedha; muwe radhi na vitu mlivyo navyo; kwa kuwa yeye mwenyewe amesema, Sitakupungukia kamwe, wala sitakuacha.


Nawaandikia ninyi, akina baba, kwa sababu mmemjua yeye aliye tangu mwanzo. Nawaandikia ninyi, vijana, kwa sababu mmemshinda yule mwovu. Nimewaandikia ninyi, watoto, kwa sababu mmemjua Baba.


Watoto, ni wakati wa mwisho; na kama vile mlivyosikia kwamba mpinga Kristo yuaja, hata sasa wapinga Kristo wengi wamekwisha kuwapo. Kwa sababu hiyo tunajua ya kuwa ni wakati wa mwisho.