Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wafalme 19:6 - Swahili Revised Union Version

6 Akatazama, kumbe! Pana mkate umeokwa juu ya makaa, na gudulia la maji, kichwani pake. Akala, akanywa, akajinyosha tena.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Elia alipotazama, akaona mkate uliookwa juu ya makaa, na chupa ya maji karibu na kichwa chake. Basi, akala, akanywa, akalala tena.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Elia alipotazama, akaona mkate uliookwa juu ya makaa, na chupa ya maji karibu na kichwa chake. Basi, akala, akanywa, akalala tena.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Elia alipotazama, akaona mkate uliookwa juu ya makaa, na chupa ya maji karibu na kichwa chake. Basi, akala, akanywa, akalala tena.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Akatazama pande zote, na hapo karibu na kichwa chake palikuwa na mkate uliookwa kwenye makaa ya moto, na gudulia la maji. Akala na kunywa, kisha akajinyoosha tena.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Akatazama pande zote, napo hapo karibu na kichwa chake palikuwepo mkate uliookwa kwenye makaa ya moto na gudulia la maji. Akala na kunywa, kisha akajinyoosha tena.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 Akatazama, kumbe! Pana mkate umeokwa juu ya makaa, na gudulia la maji, kichwani pake. Akala, akanywa, akajinyosha tena.

Tazama sura Nakili




1 Wafalme 19:6
13 Marejeleo ya Msalaba  

Itakuwa utakunywa maji ya kile kijito; nami nimewaamuru kunguru wakulishe huko.


Kunguru wakamletea mkate na nyama asubuhi, na mkate na nyama jioni, akanywa maji ya kile kijito.


Naye akajinyosha akalala chini ya mretemu; na tazama, malaika akamgusa, akamwambia, Inuka, ule.


Malaika wa BWANA akamwendea mara ya pili, akamgusa, akasema, Inuka, ule; maana safari hii ni kubwa mno kwako.


Umtumaini BWANA ukatende mema, Ukae katika nchi, upendezwe na uaminifu.


Huyu ndiye atakayekaa juu; majabali ni ngome yake; atapewa chakula chake; maji yake hayatakoma.


mwanamke mwenye kibweta cha marhamu ya thamani kubwa alimkaribia akaimimina kichwani pake alipoketi chakulani.


Kisha Ibilisi akamwacha; na tazama, wakaja malaika wakamtumikia.


Kwa maana hayo yote Mataifa huyatafuta; kwa sababu Baba yenu wa mbinguni anajua ya kuwa mnahitaji hayo yote.


Basi Yesu akawaambia, Wanangu, mna kitoweo? Wakamjibu, La.


Basi waliposhuka pwani, wakaona huko moto wa makaa, na juu yake pametiwa samaki, na mkate.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo