Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 21:5 - Swahili Revised Union Version

5 Basi Yesu akawaambia, Wanangu, mna kitoweo? Wakamjibu, La.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Basi, Yesu akawauliza, “Vijana, hamjapata samaki wowote sio?” Wao wakamjibu, “La! Hatujapata kitu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Basi, Yesu akawauliza, “Vijana, hamjapata samaki wowote sio?” Wao wakamjibu, “La! Hatujapata kitu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Basi, Yesu akawauliza, “Vijana, hamjapata samaki wowote sio?” Wao wakamjibu, “La! Hatujapata kitu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Isa akawaambia, “Wanangu, je, mna samaki wowote?” Wakamjibu, “La.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Isa akawaambia, “Wanangu, je, mna samaki wowote?” Wakamjibu, “La.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Basi Yesu akawaambia, Wanangu, mna kitoweo? Wakamjibu, La.

Tazama sura Nakili




Yohana 21:5
10 Marejeleo ya Msalaba  

Akatazama, kumbe! Pana mkate umeokwa juu ya makaa, na gudulia la maji, kichwani pake. Akala, akanywa, akajinyosha tena.


Umtumaini BWANA ukatende mema, Ukae katika nchi, upendezwe na uaminifu.


Hata kulipokuwa jioni, wanafunzi wake walimwendea, wakasema, Mahali hapa ni nyika tupu, na saa imekwisha pita; uwaage makutano, waende zao vijijini, wakajinunulie vyakula.


Walikuwa na visamaki vichache; akavibariki, akasema wawagawie na hivyo pia.


Na Mungu wangu atawajazeni kila mnachokihitaji kwa kadiri ya utajiri wake, katika utukufu, ndani ya Kristo Yesu.


Msiwe na tabia ya kupenda fedha; muwe radhi na vitu mlivyo navyo; kwa kuwa yeye mwenyewe amesema, Sitakupungukia kamwe, wala sitakuacha.


Nawaandikia ninyi, akina baba, kwa sababu mmemjua yeye aliye tangu mwanzo. Nawaandikia ninyi, vijana, kwa sababu mmemshinda yule mwovu. Nimewaandikia ninyi, watoto, kwa sababu mmemjua Baba.


Watoto, ni wakati wa mwisho; na kama vile mlivyosikia kwamba mpinga Kristo yuaja, hata sasa wapinga Kristo wengi wamekwisha kuwapo. Kwa sababu hiyo tunajua ya kuwa ni wakati wa mwisho.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo