Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 21:4 - Swahili Revised Union Version

Asubuhi kulipokucha, Yesu alisimama ufuoni; lakini wanafunzi hawakujua ya kuwa ni Yesu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kulipoanza kupambazuka, Yesu alisimama kando ya ziwa, lakini wanafunzi hawakujua kwamba alikuwa ni yeye.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kulipoanza kupambazuka, Yesu alisimama kando ya ziwa, lakini wanafunzi hawakujua kwamba alikuwa ni yeye.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kulipoanza kupambazuka, Yesu alisimama kando ya ziwa, lakini wanafunzi hawakujua kwamba alikuwa ni yeye.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mara baada ya kupambazuka, Isa akasimama ufuoni, lakini wanafunzi hawakumtambua kwamba alikuwa Isa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mara baada ya kupambazuka, Isa akasimama ufuoni, lakini wanafunzi hawakumtambua kwamba alikuwa Isa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Asubuhi kulipokucha, Yesu alisimama ufuoni; lakini wanafunzi hawakujua ya kuwa ni Yesu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 21:4
5 Marejeleo ya Msalaba  

Yusufu akawatambua nduguze, bali wao hawakumtambua yeye.


Baada ya hayo akawatokea wawili miongoni mwao, akiwa na sura nyingine; nao walikuwa wakitembea njiani kwenda mashambani.


Yakafumbuliwa macho yao, wakamtambua; kisha akatoweka mbele yao.


Naye akiisha kusema hayo, akageuka nyuma, akamwona Yesu amesimama, asijue ya kuwa ni Yesu.