Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 19:14 - Swahili Revised Union Version

Nayo ilikuwa Maandalio ya Pasaka, yapata saa sita. Akawaambia Wayahudi, Tazama, Mfalme wenu!

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ilikuwa yapata saa sita mchana, siku ya maandalio ya Pasaka. Pilato akawaambia Wayahudi, “Tazameni, Mfalme wenu!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ilikuwa yapata saa sita mchana, siku ya maandalio ya Pasaka. Pilato akawaambia Wayahudi, “Tazameni, Mfalme wenu!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ilikuwa yapata saa sita mchana, siku ya maandalio ya Pasaka. Pilato akawaambia Wayahudi, “Tazameni, Mfalme wenu!”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi ilikuwa siku ya Maandalio ya Pasaka, yapata kama saa sita hivi. Pilato akawaambia Wayahudi, “Huyu hapa mfalme wenu!”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Basi ilikuwa siku ya Maandalio ya Pasaka, yapata kama saa sita hivi. Pilato akawaambia Wayahudi, “Huyu hapa mfalme wenu!”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nayo ilikuwa Maandalio ya Pasaka, yapata saa sita. Akawaambia Wayahudi, Tazama, Mfalme wenu!

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 19:14
12 Marejeleo ya Msalaba  

Basi tangu saa sita palikuwa na giza juu ya nchi yote hadi saa tisa.


Hata siku ya pili, ndiyo iliyo baada ya Maandalio, wakuu wa makuhani, na Mafarisayo wakamkusanyikia Pilato,


Basi ilikuwa saa tatu, nao wakamsulubisha.


Ilipofika wakati wa jioni, kwa sababu ni Maandalio, ndiyo siku iliyo kabla ya sabato,


Hapo ilikuwa yapata saa sita, kukawa giza juu ya nchi yote hadi saa tisa,


Na siku ile ilikuwa siku ya Maandalio, na sabato ikaanza kuingia.


Wakawa wakimwendea, wakisema, Salamu! Mfalme wa Wayahudi! Wakampiga makofi.


Humo basi, kwa sababu ya Maandalio ya Wayahudi, wakamweka Yesu; maana lile kaburi lilikuwa karibu.


Ndipo Yesu alipotoka nje, naye amevaa lile taji la miiba, na lile vazi la zambarau. Pilato akawaambia, Tazama, mtu huyu!