Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 23:54 - Swahili Revised Union Version

54 Na siku ile ilikuwa siku ya Maandalio, na sabato ikaanza kuingia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

54 Siku hiyo ilikuwa Ijumaa, na maandalio ya siku ya Sabato yalikuwa yanaanza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

54 Siku hiyo ilikuwa Ijumaa, na maandalio ya siku ya Sabato yalikuwa yanaanza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

54 Siku hiyo ilikuwa Ijumaa, na maandalio ya siku ya Sabato yalikuwa yanaanza.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

54 Ilikuwa Siku ya Maandalizi, nayo Sabato ilikuwa karibu kuanza.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

54 Ilikuwa Siku ya Maandalizi, nayo Sabato ilikuwa karibu kuanza.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

54 Na siku ile ilikuwa siku ya Maandalio, na sabato ikaanza kuingia.

Tazama sura Nakili




Luka 23:54
6 Marejeleo ya Msalaba  

Hata siku ya pili, ndiyo iliyo baada ya Maandalio, wakuu wa makuhani, na Mafarisayo wakamkusanyikia Pilato,


Ilipofika wakati wa jioni, kwa sababu ni Maandalio, ndiyo siku iliyo kabla ya sabato,


Akaushusha, akauzinga sanda ya kitani, akauweka katika kaburi lililochongwa mwambani, ambalo hajalazwa mtu bado ndani yake.


Nayo ilikuwa Maandalio ya Pasaka, yapata saa sita. Akawaambia Wayahudi, Tazama, Mfalme wenu!


Basi Wayahudi, kwa sababu ni Maandalio, miili isikae juu ya misalaba siku ya sabato, (maana sabato ile ilikuwa siku kubwa), walimwomba Pilato miguu yao ivunjwe, wakaondolewe.


Humo basi, kwa sababu ya Maandalio ya Wayahudi, wakamweka Yesu; maana lile kaburi lilikuwa karibu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo