Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 15:42 - Swahili Revised Union Version

42 Ilipofika wakati wa jioni, kwa sababu ni Maandalio, ndiyo siku iliyo kabla ya sabato,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

42 Wakati wa jioni ulikuwa umekwisha fika. Hiyo ilikuwa siku ya Maandalio, yaani siku inayotangulia Sabato.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

42 Wakati wa jioni ulikuwa umekwisha fika. Hiyo ilikuwa siku ya Maandalio, yaani siku inayotangulia Sabato.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

42 Wakati wa jioni ulikuwa umekwisha fika. Hiyo ilikuwa siku ya Maandalio, yaani siku inayotangulia Sabato.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

42 Ilipofika jioni, kwa kuwa ilikuwa Siku ya Maandalizi (yaani siku moja kabla ya Sabato),

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

42 Ilipofika jioni, kwa kuwa ilikuwa Siku ya Maandalizi, yaani siku moja kabla ya Sabato,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

42 Ilipofika wakati wa jioni, kwa sababu ni Maandalio, ndiyo siku iliyo kabla ya sabato,

Tazama sura Nakili




Marko 15:42
5 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Wayahudi, kwa sababu ni Maandalio, miili isikae juu ya misalaba siku ya sabato, (maana sabato ile ilikuwa siku kubwa), walimwomba Pilato miguu yao ivunjwe, wakaondolewe.


Hata walipokwisha kumaliza yote aliyoandikiwa, wakamteremsha kutoka kwa ule mti, wakamweka kaburini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo