Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 13:22 - Swahili Revised Union Version

Wanafunzi wakatazamana, huku wakiwa na mashaka ni nani amnenaye.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wanafunzi wakatazamana wasiweze kabisa kujua anamsema nani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wanafunzi wakatazamana wasiweze kabisa kujua anamsema nani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wanafunzi wakatazamana wasiweze kabisa kujua anamsema nani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wanafunzi wake wakatazamana bila kujua kuwa alikuwa anamsema nani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wanafunzi wake wakatazamana bila kujua kuwa alikuwa anamsema nani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wanafunzi wakatazamana, huku wakiwa na mashaka ni nani amnenaye.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 13:22
9 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Yakobo akaona ya kuwa kuna nafaka katika Misri, Yakobo akawaambia wanawe, Kwa nini mnatazamana?


Nao walipokuwa wakila, alisema, Amin, nawaambia, Mmoja wenu atanisaliti.


Wakahuzunika sana, wakaanza kumwuliza mmoja mmoja, Ni mimi, Bwana?


Nao walipokuwa wameketi chakulani, wakila, Yesu alisema, Amin, nawaambia, Mmoja wenu, naye anakula pamoja nami, atanisaliti.


Wakaanza kuhuzunika, wakamwambia mmoja mmoja, Je! Ni mimi?


Lakini, tazama, mkono wake yeye anayenisaliti upo hapa pamoja nami mezani,


Wakaanza kuulizana wao kwa wao, ni yupi miongoni mwao atakayelitenda jambo hilo.


Sisemi habari za ninyi nyote; nawajua wale niliowachagua; lakini andiko lipate kutimizwa, Aliyekula chakula changu Ameniinulia kisigino chake.


Naye alipokwisha kusema hayo, Yesu alifadhaika rohoni, akashuhudia akisema, Amin, amin, nawaambieni, Mmoja wenu atanisaliti.