Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 26:21 - Swahili Revised Union Version

21 Nao walipokuwa wakila, alisema, Amin, nawaambia, Mmoja wenu atanisaliti.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Walipokuwa wakila, Yesu akasema, “Nawaambieni kweli, mmoja wenu atanisaliti.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Walipokuwa wakila, Yesu akasema, “Nawaambieni kweli, mmoja wenu atanisaliti.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Walipokuwa wakila, Yesu akasema, “Nawaambieni kweli, mmoja wenu atanisaliti.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Nao walipokuwa wakila, Isa akasema, “Amin, nawaambia, mmoja wenu atanisaliti.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Nao walipokuwa wakila, Isa akasema, “Amin, nawaambia, mmoja wenu atanisaliti.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Nao walipokuwa wakila, alisema, Amin, nawaambia, Mmoja wenu atanisaliti.

Tazama sura Nakili




Mathayo 26:21
11 Marejeleo ya Msalaba  

Mnajua ya kuwa baada ya siku mbili itakuwa Pasaka, na Mwana wa Adamu atasalitiwa asulubiwe.


Wakahuzunika sana, wakaanza kumwuliza mmoja mmoja, Ni mimi, Bwana?


Sisemi habari za ninyi nyote; nawajua wale niliowachagua; lakini andiko lipate kutimizwa, Aliyekula chakula changu Ameniinulia kisigino chake.


Naye alipokwisha kusema hayo, Yesu alifadhaika rohoni, akashuhudia akisema, Amin, amin, nawaambieni, Mmoja wenu atanisaliti.


Wanafunzi wakatazamana, huku wakiwa na mashaka ni nani amnenaye.


Wala hakuna kiumbe kisichokuwa wazi mbele zake, maana vitu vyote ni tupu na kuwekwa wazi machoni pake yeye ambaye tunapaswa kuwajibika kwake.


nami nitawaua watoto wake kwa mauti. Na makanisa yote watajua ya kuwa mimi ndiye achunguzaye fikira na mioyo. Nami nitampa kila mmoja wenu kwa kadiri ya matendo yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo