Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 26:20 - Swahili Revised Union Version

20 Basi kulipokuwa jioni aliketi chakulani pamoja na wale Kumi na Wawili.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Kulipokuwa jioni, Yesu akakaa mezani pamoja na wanafunzi wake kumi na wawili.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Kulipokuwa jioni, Yesu akakaa mezani pamoja na wanafunzi wake kumi na wawili.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Kulipokuwa jioni, Yesu akakaa mezani pamoja na wanafunzi wake kumi na wawili.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Ilipofika jioni, Isa alikuwa ameketi mezani pamoja na wale wanafunzi wake kumi na wawili.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Ilipofika jioni, Isa alikuwa ameketi mezani pamoja na wale wanafunzi wake kumi na wawili.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

20 Basi kulipokuwa jioni aliketi chakulani pamoja na wale Kumi na Wawili.

Tazama sura Nakili




Mathayo 26:20
6 Marejeleo ya Msalaba  

Tena mtamla hivi; mtakuwa mmefungwa viuno vyenu, mmevaa viatu vyenu miguuni, na fimbo zenu mikononi mwenu; nanyi mtamla kwa haraka; ni Pasaka ya BWANA.


Muda mfalme alipoketi juu ya kochi, Nardo yangu ilitoa harufu yake.


Wanafunzi wakafanya kama Yesu alivyowaagiza, wakaiandaa Pasaka.


Naye alipokwisha kusema hayo, Yesu alifadhaika rohoni, akashuhudia akisema, Amin, amin, nawaambieni, Mmoja wenu atanisaliti.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo