Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 14:19 - Swahili Revised Union Version

19 Wakaanza kuhuzunika, wakamwambia mmoja mmoja, Je! Ni mimi?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Hapo wanafunzi wake wakaanza kuhuzunika, wakamwuliza mmojammoja, “Je, ni mimi?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Hapo wanafunzi wake wakaanza kuhuzunika, wakamwuliza mmojammoja, “Je, ni mimi?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Hapo wanafunzi wake wakaanza kuhuzunika, wakamwuliza mmojammoja, “Je, ni mimi?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Wakaanza kuhuzunika na kumuuliza mmoja baada ya mwingine, “Je, ni mimi, Bwana?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Wakaanza kuhuzunika na kumuuliza mmoja baada ya mwingine, “Je, ni mimi Bwana?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

19 Wakaanza kuhuzunika, wakamwambia mmoja mmoja, Je! Ni mimi?

Tazama sura Nakili




Marko 14:19
5 Marejeleo ya Msalaba  

Wakahuzunika sana, wakaanza kumwuliza mmoja mmoja, Ni mimi, Bwana?


Nao walipokuwa wameketi chakulani, wakila, Yesu alisema, Amin, nawaambia, Mmoja wenu, naye anakula pamoja nami, atanisaliti.


Akawaambia, Ni mmoja wa hao Kumi na Wawili, ambaye achovya pamoja nami katika kombe.


Wanafunzi wakatazamana, huku wakiwa na mashaka ni nani amnenaye.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo