Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yeremia 4:3 - Swahili Revised Union Version

Maana BWANA awaambia hivi watu wa Yuda na Yerusalemu Ulimeni udongo katika konde zenu, wala msipande mbegu kati ya miiba.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwenyezi-Mungu awaambia hivi watu wa Yuda na wakazi wa Yerusalemu: “Limeni mashamba yenu mapya; msipande mbegu zenu penye miiba.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwenyezi-Mungu awaambia hivi watu wa Yuda na wakazi wa Yerusalemu: “Limeni mashamba yenu mapya; msipande mbegu zenu penye miiba.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwenyezi-Mungu awaambia hivi watu wa Yuda na wakazi wa Yerusalemu: “Limeni mashamba yenu mapya; msipande mbegu zenu penye miiba.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hili ndilo asemalo Mwenyezi Mungu kwa watu wa Yuda na kwa Yerusalemu: “Vunjeni mabonge kwenye mashamba yenu, wala msipande katikati ya miiba.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hili ndilo asemalo bwana kwa watu wa Yuda na kwa Yerusalemu: “Vunjeni mabonge kwenye mashamba yenu, wala msipande katikati ya miiba.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maana BWANA awaambia hivi watu wa Yuda na Yerusalemu, Ulimeni udongo katika konde zenu, wala msipande mbegu kati ya miiba.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yeremia 4:3
10 Marejeleo ya Msalaba  

michongoma na miiba itakuzalia, nawe utakula mboga za kondeni;


lakini mwaka wa saba utaiacha nchi ipumzike na kutulia; hao maskini miongoni mwa watu wako wapate kula; na hicho watakachosaza wao, wapate kula wanyama wa kondeni. Utafanya vivyo hivyo katika shamba lako la mizabibu, na katika shamba lako la mizeituni.


Jipandieni katika haki, vuneni kwa fadhili; uchimbueni udongo wa mashamba yenu, kwa maana wakati umewadia wa kumtafuta BWANA, hata atakapokuja na kuwanyeshea haki.


Naye aliyepandwa penye miiba, huyo ndiye alisikiaye lile neno; na shughuli za dunia, na udanganyifu wa mali hulisonga lile neno; likawa halizai.


Nyingine zikaanguka penye miiba; ile miiba ikamea, ikazisonga;


Nyingine ikaanguka penye miiba; ile miiba ikamea ikaisonga, isizae matunda.


Na zilizoanguka penye miiba ni wale waliosikia, na katika kuenenda kwao husongwa na shughuli na mali, na anasa za maisha haya, wasiivishe lolote.


Nyingine zikaanguka kati ya miiba, na miiba ikamea pamoja nazo ikazisonga.