Yeremia 4:2 - Swahili Revised Union Version2 nawe utaapa hivi, Kama BWANA aishivyo, katika kweli, na katika hukumu, na katika haki ndipo mataifa watabarikiwa na yeye, nao watajitukuza katika yeye. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 ukiapa kwa ukweli, unyofu na uadilifu, kwa kusema, ‘Kama Mwenyezi-Mungu aishivyo’, ndipo mataifa yatakapopata baraka kwangu, na kutukuka kwa sababu yangu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 ukiapa kwa ukweli, unyofu na uadilifu, kwa kusema, ‘Kama Mwenyezi-Mungu aishivyo’, ndipo mataifa yatakapopata baraka kwangu, na kutukuka kwa sababu yangu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 ukiapa kwa ukweli, unyofu na uadilifu, kwa kusema, ‘Kama Mwenyezi-Mungu aishivyo’, ndipo mataifa yatakapopata baraka kwangu, na kutukuka kwa sababu yangu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 ikiwa utaapa katika kweli, kwa haki na kwa unyofu, ‘Hakika kama Mwenyezi Mungu aishivyo,’ ndipo mataifa yatakapobarikiwa naye, na ndani yake watajitukuza.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 ikiwa kwa kweli, kwa haki na kwa unyofu utaapa, ‘Kwa hakika kama vile bwana aishivyo,’ ndipo mataifa yatakapobarikiwa naye na katika yeye watajitukuza.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI2 nawe utaapa hivi, Kama BWANA aishivyo, katika kweli, na katika hukumu, na katika haki ndipo mataifa watabarikiwa na yeye, nao watajitukuza katika yeye. Tazama sura |