Mathayo 13:7 - Swahili Revised Union Version7 Nyingine zikaanguka penye miiba; ile miiba ikamea, ikazisonga; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Nyingine zilianguka kwenye miti ya miiba, nayo ikakua na kuzisonga. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Nyingine zilianguka kwenye miti ya miiba, nayo ikakua na kuzisonga. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Nyingine zilianguka kwenye miti ya miiba, nayo ikakua na kuzisonga. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Mbegu nyingine zilianguka kwenye miiba, nayo miiba hiyo ikakua, ikaisonga hiyo mimea. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Mbegu nyingine zilianguka kwenye miiba, nayo miiba hiyo ikakua, ikaisonga hiyo mimea. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI7 Nyingine zikaanguka penye miiba; ile miiba ikamea, ikazisonga; Tazama sura |