Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 8:7 - Swahili Revised Union Version

7 Nyingine zikaanguka kati ya miiba, na miiba ikamea pamoja nazo ikazisonga.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Nyingine zilianguka kati ya miti ya miiba. Ile miti ya miiba ilipoota ikazisonga.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Nyingine zilianguka kati ya miti ya miiba. Ile miti ya miiba ilipoota ikazisonga.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Nyingine zilianguka kati ya miti ya miiba. Ile miti ya miiba ilipoota ikazisonga.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Nazo mbegu nyingine zilianguka kwenye miiba, nayo ile miiba ikakua pamoja nazo, na kuisonga hiyo mimea.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Nazo mbegu nyingine zilianguka kwenye miiba, nayo ile miiba ikakua pamoja nazo, na kuisonga hiyo mimea.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

7 Nyingine zikaanguka kati ya miiba, na miiba ikamea pamoja nazo ikazisonga.

Tazama sura Nakili




Luka 8:7
11 Marejeleo ya Msalaba  

michongoma na miiba itakuzalia, nawe utakula mboga za kondeni;


Maana BWANA awaambia hivi watu wa Yuda na Yerusalemu Ulimeni udongo katika konde zenu, wala msipande mbegu kati ya miiba.


Naye aliyepandwa penye miiba, huyo ndiye alisikiaye lile neno; na shughuli za dunia, na udanganyifu wa mali hulisonga lile neno; likawa halizai.


Nyingine zikaanguka penye miiba; ile miiba ikamea, ikazisonga;


Nyingine ikaanguka penye miiba; ile miiba ikamea ikaisonga, isizae matunda.


Basi, jihadharini, mioyo yenu isije ikalemewa na ulafi, na ulevi, na masumbufu ya maisha haya; siku ile ikawajia ghafla, kama mtego unasavyo;


Na zilizoanguka penye miiba ni wale waliosikia, na katika kuenenda kwao husongwa na shughuli na mali, na anasa za maisha haya, wasiivishe lolote.


Nyingine zikaanguka penye mwamba; zilipoanza kumea zikakauka kwa kukosa rutuba.


Nyingine zikaanguka penye udongo mzuri; zikamea, zikazaa moja kwa mia. Alipokuwa akinena hayo alipaza sauti akisema, Mwenye masikio ya kusikizia, na asikie.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo