Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 8:6 - Swahili Revised Union Version

6 Nyingine zikaanguka penye mwamba; zilipoanza kumea zikakauka kwa kukosa rutuba.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Nyingine zilianguka penye mawe, na baada ya kuota zikanyauka kwa kukosa maji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Nyingine zilianguka penye mawe, na baada ya kuota zikanyauka kwa kukosa maji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Nyingine zilianguka penye mawe, na baada ya kuota zikanyauka kwa kukosa maji.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Mbegu nyingine zilianguka penye miamba, nazo zilipoota, hiyo mimea ikakauka kwa kukosa unyevu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Mbegu nyingine zilianguka penye miamba, nazo zilipoota, hiyo mimea ikakauka kwa kukosa unyevu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 Nyingine zikaanguka penye mwamba; zilipoanza kumea zikakauka kwa kukosa rutuba.

Tazama sura Nakili




Luka 8:6
14 Marejeleo ya Msalaba  

Ee BWANA, macho yako je! Hayaangalii uaminifu? Umewapiga, lakini hawakuhuzunika; umewakomesha, lakini wamekataa kurudiwa wamefanya nyuso zao kuwa ngumu kuliko mwamba wamekataa kurudi.


Nami nitawapa moyo mmoja, nami nitatia roho mpya ndani yao; nami nitauondoa moyo wa kijiwe katika miili yao, nami nitawapa moyo wa nyama;


Nami nitawapa ninyi moyo mpya, nami nitatia roho mpya ndani yenu, nami nitatoa moyo wa jiwe uliomo ndani ya mwili wenu, nami nitawapa moyo wa nyama.


Je! Farasi watapiga mbio juu ya mwamba? Je! Mtu atalima kwa plau na ng'ombe baharini? Hata mmegeuza hukumu kuwa sumu, na matunda ya haki kuwa uchungu;


Na wale penye mwamba ndio wale ambao wasikiapo hulipokea lile neno kwa furaha; nao hawana mizizi, huamini kitambo kidogo, na wakati wa kujaribiwa hujitenga.


Mpanzi alitoka kwenda kupanda mbegu zake; naye alipokuwa akizipanda, nyingine zilianguka karibu na njia, zikakanyagwa, ndege wa angani wakazila.


Nyingine zikaanguka kati ya miiba, na miiba ikamea pamoja nazo ikazisonga.


kama inenwavyo, Leo, kama mkisikia sauti yake, Msifanye mioyo yenu kuwa migumu, Kama wakati wa kuasi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo