Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yakobo 2:26 - Swahili Revised Union Version

Maana kama vile mwili pasipo roho umekufa, vivyo hivyo na imani pasipo matendo imekufa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, kama vile mwili bila roho umekufa, vivyo hivyo imani bila matendo imekufa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, kama vile mwili bila roho umekufa, vivyo hivyo imani bila matendo imekufa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, kama vile mwili bila roho umekufa, vivyo hivyo imani bila matendo imekufa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kama vile mwili pasipo roho umekufa, kadhalika nayo imani pasipo matendo imekufa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama vile ambavyo mwili pasipo roho umekufa, kadhalika nayo imani pasipo matendo imekufa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maana kama vile mwili pasipo roho umekufa, vivyo hivyo na imani pasipo matendo imekufa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yakobo 2:26
11 Marejeleo ya Msalaba  

Wewe wauficha uso wako, Wao wanafadhaika; Waiondoa pumzi yao, wanakufa, Na kuyarudia mavumbi yao,


Pumzi yake inapomtoka, anarudi katika udongo wake, Siku iyo hiyo mipango yake hutoweka.


Nayo mavumbi kuirudia nchi kama yalivyokuwa, Nayo roho kumrudia Mungu aliyeitoa.


Mwacheni mwanadamu ambaye pumzi yake iko katika mianzi ya pua yake; kwa maana wanafaa kitu gani?


Yesu akalia kwa sauti kuu, akasema, Ee Baba, mikononi mwako naiweka roho yangu.


Maana katika Kristo Yesu kutahiriwa hakufai neno, wala kutotahiriwa, bali imani itendayo kazi kwa upendo.


Ndugu zangu, yafaa nini, mtu akisema ya kwamba anayo imani, lakini hana matendo? Je! Ile imani yaweza kumwokoa?


Vivyo hivyo na imani, isipokuwa ina matendo, imekufa nafsini mwake.


Lakini wataka kujua, wewe mwanadamu usiye kitu, kwamba imani pasipo matendo haizai?