Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yakobo 2:26 - Swahili Revised Union Version

26 Maana kama vile mwili pasipo roho umekufa, vivyo hivyo na imani pasipo matendo imekufa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Basi, kama vile mwili bila roho umekufa, vivyo hivyo imani bila matendo imekufa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Basi, kama vile mwili bila roho umekufa, vivyo hivyo imani bila matendo imekufa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Basi, kama vile mwili bila roho umekufa, vivyo hivyo imani bila matendo imekufa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Kama vile mwili pasipo roho umekufa, kadhalika nayo imani pasipo matendo imekufa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Kama vile ambavyo mwili pasipo roho umekufa, kadhalika nayo imani pasipo matendo imekufa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

26 Maana kama vile mwili pasipo roho umekufa, vivyo hivyo na imani pasipo matendo imekufa.

Tazama sura Nakili




Yakobo 2:26
11 Marejeleo ya Msalaba  

Wewe wauficha uso wako, Wao wanafadhaika; Waiondoa pumzi yao, wanakufa, Na kuyarudia mavumbi yao,


Pumzi yake inapomtoka, anarudi katika udongo wake, Siku iyo hiyo mipango yake hutoweka.


Nayo mavumbi kuirudia nchi kama yalivyokuwa, Nayo roho kumrudia Mungu aliyeitoa.


Mwacheni mwanadamu ambaye pumzi yake iko katika mianzi ya pua yake; kwa maana wanafaa kitu gani?


Yesu akalia kwa sauti kuu, akasema, Ee Baba, mikononi mwako naiweka roho yangu.


Maana katika Kristo Yesu kutahiriwa hakufai neno, wala kutotahiriwa, bali imani itendayo kazi kwa upendo.


Ndugu zangu, yafaa nini, mtu akisema ya kwamba anayo imani, lakini hana matendo? Je! Ile imani yaweza kumwokoa?


Vivyo hivyo na imani, isipokuwa ina matendo, imekufa nafsini mwake.


Lakini wataka kujua, wewe mwanadamu usiye kitu, kwamba imani pasipo matendo haizai?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo