Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yakobo 2:20 - Swahili Revised Union Version

20 Lakini wataka kujua, wewe mwanadamu usiye kitu, kwamba imani pasipo matendo haizai?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Mpumbavu wee! Je, wataka kuoneshwa kwamba imani bila matendo imekufa?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Mpumbavu wee! Je, wataka kuoneshwa kwamba imani bila matendo imekufa?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Mpumbavu wee! Je, wataka kuoneshwa kwamba imani bila matendo imekufa?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Ewe mpumbavu! Je, wataka kujua kwamba imani bila matendo haifai kitu?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Ewe mpumbavu! Je, wataka kujua kwamba imani bila matendo haifai kitu?

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

20 Lakini wataka kujua, wewe mwanadamu usiye kitu, kwamba imani pasipo matendo haizai?

Tazama sura Nakili




Yakobo 2:20
16 Marejeleo ya Msalaba  

Alimaye shamba lake atakuwa na chakula tele; Bali afuataye mambo ya upuzi hana ufahamu.


BWANA asema hivi, Baba zenu waliona dhuluma gani kwangu, hata wakafarakana nami, wakafuata ubatili, nao wakawa ubatili?


kwa sababu, walipomjua Mungu hawakumtukuza kama ndiye Mungu wala kumshukuru; bali walipotea katika uzushi wao, na mioyo yao yenye ujinga ikatiwa giza.


Basi, twaona ya kuwa mwanadamu huhesabiwa haki kwa imani pasipo matendo ya sheria.


La! Sivyo, Ee binadamu; wewe u nani umjibuye Mungu? Je! Kitu kilichoumbwa kimwambie yeye aliyekiumba, Kwa nini umeniumba hivi?


Maana katika Kristo Yesu kutahiriwa hakufai neno, wala kutotahiriwa, bali imani itendayo kazi kwa upendo.


Maana mtu akijiona kuwa ni kitu, naye si kitu, ajidanganya nafsi yake.


Angalieni mtu asiwafanye mateka kwa elimu yake ya bure na madanganyo matupu, kwa jinsi ya mapokeo ya wanadamu, kwa jinsi ya mafundisho ya awali ya ulimwengu, wala si kwa jinsi ya Kristo.


Wengine wakiyakosa hayo wamegeukia maneno ya ubatili;


Kwa maana kuna wengi wasiotii, wenye maneno yasiyo na maana, wadanganyaji, na hasa wale wa tohara, ambao yapasa wazibwe vinywa vyao.


Mtu akidhani ya kuwa anayo dini, wala hauzuii ulimi wake kwa hatamu, ili hali akijidanganya moyo wake, dini yake mtu huyo haifai.


Vivyo hivyo na imani, isipokuwa ina matendo, imekufa nafsini mwake.


Maana kama vile mwili pasipo roho umekufa, vivyo hivyo na imani pasipo matendo imekufa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo