Isaya 2:22 - Swahili Revised Union Version22 Mwacheni mwanadamu ambaye pumzi yake iko katika mianzi ya pua yake; kwa maana wanafaa kitu gani? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema22 Usimwamini binadamu, uhai wake haudumu kama pumzi. Yeye anafaa kitu gani? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND22 Usimwamini binadamu, uhai wake haudumu kama pumzi. Yeye anafaa kitu gani? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza22 Usimwamini binadamu, uhai wake haudumu kama pumzi. Yeye anafaa kitu gani? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu22 Acheni kumtumainia mwanadamu, ambaye hana kitu ila pumzi katika pua zake. Yeye ana thamani gani? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu22 Acheni kumtumainia mwanadamu, ambaye hana kitu ila pumzi katika pua zake. Yeye ana thamani gani? Tazama suraBIBLIA KISWAHILI22 Mwacheni mwanadamu ambaye pumzi yake iko katika mianzi ya pua yake; kwa maana wanafaa kitu gani? Tazama sura |