Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Isaya 2:22 - Swahili Revised Union Version

22 Mwacheni mwanadamu ambaye pumzi yake iko katika mianzi ya pua yake; kwa maana wanafaa kitu gani?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Usimwamini binadamu, uhai wake haudumu kama pumzi. Yeye anafaa kitu gani?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Usimwamini binadamu, uhai wake haudumu kama pumzi. Yeye anafaa kitu gani?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Usimwamini binadamu, uhai wake haudumu kama pumzi. Yeye anafaa kitu gani?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Acheni kumtumainia mwanadamu, ambaye hana kitu ila pumzi katika pua zake. Yeye ana thamani gani?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Acheni kumtumainia mwanadamu, ambaye hana kitu ila pumzi katika pua zake. Yeye ana thamani gani?

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

22 Mwacheni mwanadamu ambaye pumzi yake iko katika mianzi ya pua yake; kwa maana wanafaa kitu gani?

Tazama sura Nakili




Isaya 2:22
14 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa kiumbe hai.


kila kitu chenye pumzi ya roho ya uhai puani mwake kikafa, kila kilichokuwako katika nchi kavu.


(Kwa kuwa uhai wangu ungali mzima ndani yangu, Na Roho ya Mungu iko katika pua yangu;)


Msiwatumainie wakuu, Wala binadamu ambaye hakuna wokovu kwake.


Hakika binadamu ni ubatili, Na wenye cheo ni uongo, Katika mizani huinuka; Wote pamoja ni hafifu kuliko ubatili.


Mtu ni kitu gani hata umkumbuke, Na binadamu hata umwangalie?


Tazama, mataifa ni kama tone la maji katika ndoo, huhesabiwa kuwa kama mavumbi membamba katika mizani; tazama, yeye huvinyanyua visiwa kama ni kitu kidogo sana.


Mataifa yote huwa kama si kitu mbele zake; huhesabiwa kwake kuwa duni kabisa na batili.


Mimi, naam, mimi, ndimi niwafarijiye; wewe u nani hata ukamwogopa mtu atakayekufa, na mwanadamu atakayefanywa kuwa kama majani?


BWANA asema hivi, Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake Na moyoni mwake amemwacha BWANA.


Na sasa twasema ya kwamba wenye kiburi ndio walio heri; naam, watendao uovu ndio wajengwao; naam, wamjaribuo Mungu ndio waponywao.


lakini hamjui yatakayokuwako kesho. Uzima wenu ni nini? Maana ninyi ni mvuke uonekanao kwa muda mfupi tu, kisha hutoweka.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo