Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yakobo 2:17 - Swahili Revised Union Version

17 Vivyo hivyo na imani, isipokuwa ina matendo, imekufa nafsini mwake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Vivyo hivyo, imani peke yake bila matendo imekufa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Vivyo hivyo, imani peke yake bila matendo imekufa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Vivyo hivyo, imani peke yake bila matendo imekufa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Vivyo hivyo, imani peke yake, kama haikuambatana na matendo, imekufa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Vivyo hivyo, imani peke yake kama haikuambatana na matendo, imekufa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

17 Vivyo hivyo na imani, isipokuwa ina matendo, imekufa nafsini mwake.

Tazama sura Nakili




Yakobo 2:17
9 Marejeleo ya Msalaba  

Basi, sasa inadumu imani, tumaini, upendo, haya matatu; na katika hayo lililo kuu ni upendo.


Tena nikitoa mali zangu zote kuwalisha maskini, tena nikijitoa mwili wangu niungue moto, kama sina upendo, hainifaidi kitu.


Maana katika Kristo Yesu kutahiriwa hakufai neno, wala kutotahiriwa, bali imani itendayo kazi kwa upendo.


Wala hatuachi kuikumbuka kazi yenu ya imani, na taabu yenu ya upendo, na subira yenu ya tumaini lililo katika Bwana wetu Yesu Kristo, mbele za Mungu Baba yetu.


Lakini lengo la agizo hili ni kuleta upendo utokao katika moyo safi na dhamiri njema, na imani isiyo na unafiki.


Ndugu zangu, yafaa nini, mtu akisema ya kwamba anayo imani, lakini hana matendo? Je! Ile imani yaweza kumwokoa?


Maana kama vile mwili pasipo roho umekufa, vivyo hivyo na imani pasipo matendo imekufa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo