Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 41:2 - Swahili Revised Union Version

Na tazama, ng'ombe saba wazuri, wanono, walipanda kutoka mtoni, wakajilisha manyasini.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

akaona ng'ombe saba wazuri na wanono wakitoka mtoni na kula nyasi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

akaona ng'ombe saba wazuri na wanono wakitoka mtoni na kula nyasi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

akaona ng'ombe saba wazuri na wanono wakitoka mtoni na kula nyasi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

wakati ng’ombe saba, wazuri na wanono, walitokea mtoni wakajilisha kwenye matete.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

wakati ng’ombe saba, wazuri na wanono, walitokea mtoni wakajilisha kwenye matete.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na tazama, ng'ombe saba wazuri, wanono, walipanda kutoka mtoni, wakajilisha manyasini.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 41:2
6 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa, baada ya miaka miwili mizima, Farao akaota ndoto; na tazama, amesimama kando ya mto.


na tazama, ng'ombe saba wanatoka mtoni, wanono, wazuri, wakajilisha nyasini.


Na tazama, ng'ombe saba wengine wakapanda nyuma yao kutoka mtoni, wabaya, wamekonda, wakasimama karibu na wale ng'ombe wengine ukingoni mwa mto.


Je! Hayo mafunjo yamea pasipo matope Na makangaga kumea pasipo maji?


Na vijito vya mto vitatoa uvundo, na mifereji ya Misri itakuwa haina maji mengi, itakauka; manyasi na mianzi itanyauka.


Vitu vimeavyo karibu na Nile, katika ukingo wa Nile, na vyote vilivyopandwa karibu na Nile vitakauka na kuondolewa na kutoweka.