Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 8:11 - Swahili Revised Union Version

11 Je! Hayo mafunjo yamea pasipo matope Na makangaga kumea pasipo maji?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Mafunjo huota tu penye majimaji, matete hustawi mahali palipo na maji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Mafunjo huota tu penye majimaji, matete hustawi mahali palipo na maji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Mafunjo huota tu penye majimaji, matete hustawi mahali palipo na maji.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Je, mafunjo yaweza kumea mahali pasipo na matope? Matete yaweza kustawi bila maji?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Je, mafunjo yaweza kumea mahali pasipo na matope? Matete yaweza kustawi bila maji?

Tazama sura Nakili




Yobu 8:11
5 Marejeleo ya Msalaba  

Na tazama, ng'ombe saba wazuri, wanono, walipanda kutoka mtoni, wakajilisha manyasini.


Je! Hawatakufunza wao, na kukueleza, Na kutamka maneno yatokayo mioyoni mwao?


Yakiwa yangali mabichi bado, wala hayakukatwa, Hunyauka mbele ya majani mengine.


Na alipokuwa hawezi kumficha tena, akamtengenezea kikapu cha mafunjo akakitaliza kwa sifa na lami, akamtia mtoto ndani yake, akakiweka kwenye nyasi kando ya mto.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo