Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 8:10 - Swahili Revised Union Version

10 Je! Hawatakufunza wao, na kukueleza, Na kutamka maneno yatokayo mioyoni mwao?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Lakini wao watakufunza na kukuambia, mambo waliyopata kuyatoa katika maarifa yao:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Lakini wao watakufunza na kukuambia, mambo waliyopata kuyatoa katika maarifa yao:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Lakini wao watakufunza na kukuambia, mambo waliyopata kuyatoa katika maarifa yao:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Je, hawatakufundisha na kukueleza? Je, hawataleta maneno ya ufahamu wao?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Je, hawatakufundisha na kukueleza? Je, hawataleta maneno kutoka kwenye kufahamu kwao?

Tazama sura Nakili




Yobu 8:10
12 Marejeleo ya Msalaba  

Nilisema, Yafaa siku ziseme, Na wingi wa miaka ufundishe hekima.


Je! Hayo mafunjo yamea pasipo matope Na makangaga kumea pasipo maji?


(Kwani sisi tu wa jana tu, wala hatujui neno, Kwa kuwa siku zetu duniani ni kivuli tu;)


Kizazi kwa kizazi kitayasifu matendo yako, Kitayatangaza matendo yako makuu.


Moyo wake mwenye hekima hufundisha kinywa chake; Huzidisha elimu ya midomo yake.


Moyo wa mwenye busara hupata maarifa; Na sikio la mwenye hekima hutafuta maarifa.


Mtu mwema katika akiba njema hutoa mema; na mtu mbaya katika akiba mbaya hutoa mabaya.


Nayo wafunzeni watoto wenu kwa kuyazungumza uishipo katika nyumba yako, na utembeapo njiani, na ulalapo, na uondokapo.


nawe uwafundishe watoto wako kwa bidii, na kuyasema uishipo katika nyumba yako, na utembeapo njiani, na ulalapo, na uondokapo.


Kwa imani Habili alimtolea Mungu dhabihu iliyo bora kuliko Kaini; kwa hiyo alishuhudiwa kuwa ana haki; Mungu akazishuhudia sadaka zake, na kwa hiyo, ijapokuwa amekufa, angali akinena.


Basi na sisi pia, kwa kuwa tunazungukwa na wingu kubwa la mashahidi namna hii, na tuweke kando kila mzigo mzito, na dhambi ile ituzingayo kwa upesi; na tupige mbio kwa subira katika yale mashindano yaliyowekwa mbele yetu,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo