Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 8:9 - Swahili Revised Union Version

9 (Kwani sisi tu wa jana tu, wala hatujui neno, Kwa kuwa siku zetu duniani ni kivuli tu;)

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Sisi ni watu wa juzijuzi tu, hatujui kitu; siku zetu duniani ni kivuli kipitacho.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Sisi ni watu wa juzijuzi tu, hatujui kitu; siku zetu duniani ni kivuli kipitacho.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Sisi ni watu wa juzijuzi tu, hatujui kitu; siku zetu duniani ni kivuli kipitacho.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 kwa kuwa sisi tumezaliwa jana tu na hatujui lolote, nazo siku zetu duniani ni kama kivuli tu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 kwa kuwa sisi tumezaliwa jana tu na hatujui lolote, nazo siku zetu duniani ni kama kivuli tu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

9 (Kwani sisi tu wa jana tu, wala hatujui neno, Kwa kuwa siku zetu duniani ni kivuli tu;)

Tazama sura Nakili




Yobu 8:9
14 Marejeleo ya Msalaba  

Yakobo akamjibu Farao, Siku za kuishi kwangu ni miaka mia moja na thelathini; siku za maisha yangu zimekuwa chache, tena za taabu, wala hazikufikia siku za maisha ya baba zangu katika siku za kuishi kwao.


Kwani sisi tu wageni na wapitaji mbele zako, kama walivyokuwa baba zetu wote; siku zetu duniani ni kama kivuli, na hakuna tumaini la kuishi.


Mfalme Rehoboamu akataka shauri kwa wazee, waliosimama mbele ya Sulemani baba yake, alipokuwa hai bado, akasema, Mnanipa shauri gani la kuwajibu watu hawa?


Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke Siku zake za kuishi si nyingi, naye hujaa taabu.


Yeye huchanua kama vile ua, kisha hukatwa; Hukimbia kama kivuli, wala hakai kamwe.


Nilisema, Yafaa siku ziseme, Na wingi wa miaka ufundishe hekima.


Siku zangu hupita upesi kuliko chombo cha kufumia, Nazo zapita pasipokuwa na matumaini.


Je! Hawatakufunza wao, na kukueleza, Na kutamka maneno yatokayo mioyoni mwao?


Siku zangu ni kama kivuli cha jioni, Nami ninanyauka kama majani.


Bali Wewe, BWANA utaketi ukimiliki milele, Na jina lako litakumbukwa na vizazi vyote.


Binadamu ni kama ubatili, Siku zake ni kama kivuli kipitacho.


Tazama, umefanya siku zangu kuwa mashubiri; Maisha yangu ni kama si kitu mbele zako. Kila mwanadamu, ingawa amesitawi, ni ubatili.


Hawajui wala hawafahamu, hutembea gizani; Misingi yote ya nchi imetikisika.


Maana miaka elfu machoni pako Ni kama siku ya jana ikiisha kupita, Na kama kesha la usiku.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo