Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 8:8 - Swahili Revised Union Version

8 Basi, uwaulize, tafadhali, vizazi vya zamani, Ujitie kuyaangalia yale baba zao waliyoyatafuta;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Jifunze tafadhali kwa wale waliotutangulia, zingatia mambo waliyogundua hao wazee.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Jifunze tafadhali kwa wale waliotutangulia, zingatia mambo waliyogundua hao wazee.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Jifunze tafadhali kwa wale waliotutangulia, zingatia mambo waliyogundua hao wazee.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 “Ukaulize vizazi vilivyotangulia na uone baba zao walijifunza nini,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 “Ukaulize vizazi vilivyotangulia na uone baba zao walijifunza nini,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Basi, uwaulize, tafadhali, vizazi vya zamani, Ujitie kuyaangalia yale baba zao waliyoyatafuta;

Tazama sura Nakili




Yobu 8:8
15 Marejeleo ya Msalaba  

Mfalme Rehoboamu akataka shauri kwa wazee, waliosimama mbele ya Sulemani baba yake, alipokuwa hai bado, akasema, Mnanipa shauri gani la kuwajibu watu hawa?


Wazee ndio walio na hekima, Na katika kuishi siku nyingi iko fahamu.


Tazama, jicho langu limeyaona hayo yote, Sikio langu limeyasikia na kuyaelewa.


Wenye mvi, na walio wazee sana, wote wapo pamoja nasi, Ambao ni wazee kuliko baba yako.


(Ambayo watu wenye hekima wameyatangaza Tokea baba zao, wala hawakuyaficha;


Je! Hujui neno hili tangu zamani za kale, Tangu wanadamu kuwekwa juu ya nchi,


Ee Mungu, tumesikia kwa masikio yetu Baba zetu wametuambia, Matendo uliyoyatenda siku zao, siku za kale.


Aliye hai, naam, aliye hai, ndiye atakayekusifu, kama mimi leo; Baba atawajulisha watoto uaminifu wako.


Sikieni haya, enyi wazee; Sikilizeni, enyi wenyeji wote wa nchi. Je! Mambo haya yamekuwako katika siku zenu, Au katika siku za baba zenu?


Kwa kuwa yote yaliyotangulia kuandikwa yaliandikwa ili kutufundisha sisi; ili kwa saburi na faraja ya Maandiko tupate kuwa na tumaini.


Basi mambo hayo yaliwapata wao kwa jinsi ya mifano, yakaandikwa ili kutuonya sisi, tuliofikiwa na miisho ya nyakati.


Kumbuka siku za kale, Tafakari miaka ya vizazi vingi; Mwulize baba yako, naye atakuonesha; Wazee wako, nao watakuambia.


Tazama siku zilizopita, zilizokuwa kabla yako, tangu siku ile Mungu aliyoumba mwanadamu juu ya nchi, na kutoka pembe hii ya mbingu hadi ile, kama kumetukia neno lolote kama neno hili kubwa, au kwamba kumesikiwa habari ya neno kama hili?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo