Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 8:12 - Swahili Revised Union Version

12 Yakiwa yangali mabichi bado, wala hayakukatwa, Hunyauka mbele ya majani mengine.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Hata kama yamechanua na bila kukatwa, yakikosa maji hunyauka kabla ya mimea mingine.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Hata kama yamechanua na bila kukatwa, yakikosa maji hunyauka kabla ya mimea mingine.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Hata kama yamechanua na bila kukatwa, yakikosa maji hunyauka kabla ya mimea mingine.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Wakati bado yanaendelea kukua kabla ya kukatwa, hunyauka haraka kuliko majani mengine.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Wakati bado yanaendelea kukua kabla ya kukatwa, hunyauka haraka kuliko majani mengine.

Tazama sura Nakili




Yobu 8:12
9 Marejeleo ya Msalaba  

Ya kuwa shangwe ya waovu ni kwa muda kidogo, Na furaha ya wapotovu ni ya dakika moja tu?


Je! Hayo mafunjo yamea pasipo matope Na makangaga kumea pasipo maji?


Ndivyo ulivyo mwisho wa hao wamsahauo Mungu; Na matumaini yake huyo mbaya huangamia;


Na vijito vya mto vitatoa uvundo, na mifereji ya Misri itakuwa haina maji mengi, itakauka; manyasi na mianzi itanyauka.


Maana atakuwa kama fukara nyikani, Hataona yatakapotokea mema; Bali atakaa jangwani palipo ukame, Katika nchi ya chumvi isiyokaliwa na watu.


Naye aliyepandwa penye miamba, huyo ndiye alisikiaye lile neno, akalipokea mara kwa furaha;


Maana, Mwili wote ni kama majani, Na fahari yake yote ni kama ua la majani. Majani hukauka na ua lake huanguka;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo