Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 41:18 - Swahili Revised Union Version

18 na tazama, ng'ombe saba wanatoka mtoni, wanono, wazuri, wakajilisha nyasini.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 nikaona ng'ombe saba wazuri na wanono wakitoka mtoni na kula nyasi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 nikaona ng'ombe saba wazuri na wanono wakitoka mtoni na kula nyasi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 nikaona ng'ombe saba wazuri na wanono wakitoka mtoni na kula nyasi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Nikawaona ng’ombe saba, wazuri na wanono, wakijitokeza kutoka mtoni, wakaja kujilisha kwenye matete.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 nikawaona ng’ombe saba, wazuri na wanono, wakijitokeza kutoka mtoni wakaja kujilisha kwenye matete.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 na tazama, ng'ombe saba wanatoka mtoni, wanono, wazuri, wakajilisha nyasini.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 41:18
6 Marejeleo ya Msalaba  

Farao akamwambia Yusufu, Katika ndoto yangu nilikuwa nimesimama ukingoni mwa mto;


Kisha, tazama, ng'ombe saba wengine wakapanda baada yao, dhaifu, wabaya sana, wamekonda; katika nchi yote ya Misri sijaona kama hao kwa udhaifu.


Na tazama, ng'ombe saba wazuri, wanono, walipanda kutoka mtoni, wakajilisha manyasini.


BWANA, Mungu wa Israeli, asema hivi, Kama zilivyo tini hizi nzuri, ndivyo nitakavyowaangalia mateka wa Yuda, niliowatoa katika mahali hapa, waende mpaka nchi ya Wakaldayo, wapate mema.


Na habari za tini zile mbovu, zisizoweza kuliwa, kwa kuwa ni mbovu sana; hakika, asema, BWANA, ndivyo nitakavyomtoa Sedekia, mfalme wa Yuda, na wakuu wake, na mabaki ya Yerusalemu, waliosalia katika nchi hii, na hao wanaokaa katika nchi ya Misri.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo