Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 41:2 - Swahili Revised Union Version

2 Na tazama, ng'ombe saba wazuri, wanono, walipanda kutoka mtoni, wakajilisha manyasini.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 akaona ng'ombe saba wazuri na wanono wakitoka mtoni na kula nyasi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 akaona ng'ombe saba wazuri na wanono wakitoka mtoni na kula nyasi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 akaona ng'ombe saba wazuri na wanono wakitoka mtoni na kula nyasi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 wakati ng’ombe saba, wazuri na wanono, walitokea mtoni wakajilisha kwenye matete.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 wakati ng’ombe saba, wazuri na wanono, walitokea mtoni wakajilisha kwenye matete.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Na tazama, ng'ombe saba wazuri, wanono, walipanda kutoka mtoni, wakajilisha manyasini.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 41:2
6 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa, baada ya miaka miwili mizima, Farao akaota ndoto; na tazama, amesimama kando ya mto.


na tazama, ng'ombe saba wanatoka mtoni, wanono, wazuri, wakajilisha nyasini.


Na tazama, ng'ombe saba wengine wakapanda nyuma yao kutoka mtoni, wabaya, wamekonda, wakasimama karibu na wale ng'ombe wengine ukingoni mwa mto.


Je! Hayo mafunjo yamea pasipo matope Na makangaga kumea pasipo maji?


Na vijito vya mto vitatoa uvundo, na mifereji ya Misri itakuwa haina maji mengi, itakauka; manyasi na mianzi itanyauka.


Vitu vimeavyo karibu na Nile, katika ukingo wa Nile, na vyote vilivyopandwa karibu na Nile vitakauka na kuondolewa na kutoweka.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo