Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 1:4 - Swahili Revised Union Version

Mungu akaiona nuru, ya kuwa ni njema; Mungu akatenga nuru na giza.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mungu akauona mwanga kuwa ni mwema. Kisha Mungu akautenganisha mwanga na giza,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mungu akauona mwanga kuwa ni mwema. Kisha Mungu akautenganisha mwanga na giza,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mungu akauona mwanga kuwa ni mwema. Kisha Mungu akautenganisha mwanga na giza,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mungu akaona ya kuwa nuru ni njema; ndipo Mungu akatenganisha nuru na giza.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mwenyezi Mungu akaona ya kuwa nuru ni njema, ndipo Mwenyezi Mungu akatenganisha nuru na giza.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mungu akaiona nuru, ya kuwa ni njema; Mungu akatenga nuru na giza.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 1:4
10 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu akapaita pale pakavu Nchi; na makusanyiko ya maji akayaita Bahari; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.


Nchi ikatoa majani, mche utoao mbegu kwa jinsi yake, na mti uzaao matunda, ambao mbegu zake zimo ndani yake, kwa jinsi yake; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.


na kuutawala mchana na usiku na kutenga nuru na giza; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.


Mungu akaumba aina zote za wanyama wa porini na wa kufugwa na viumbe vyote vitambaavyo nchini; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.


Mungu akaona kila kitu alichokifanya, na tazama, ni chema sana. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya sita.


Ee BWANA, kazi zako zote zitakushukuru, Na wacha Mungu wako watakuhimidi.


BWANA ni mwema kwa watu wote, Na rehema zake ziko juu ya vyote alivyoumba.


Kweli nuru ni tamu, tena ni jambo la kupendeza macho kutazama jua.


Ndipo nilipoona ya kuwa kweli hekima hupita upumbavu, kwa kadiri nuru ipitavyo giza;


Mimi naiumba nuru, na kulihuluku giza; mimi nafanya suluhu, na kuhuluku ubaya; Mimi ni BWANA, niyatendaye hayo yote.