Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 1:25 - Swahili Revised Union Version

25 Mungu akaumba aina zote za wanyama wa porini na wa kufugwa na viumbe vyote vitambaavyo nchini; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Basi, Mungu akafanya aina zote za wanyama wa porini, wanyama wa kufugwa, na viumbe vitambaavyo. Mungu akaona kuwa ni vyema.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Basi, Mungu akafanya aina zote za wanyama wa porini, wanyama wa kufugwa, na viumbe vitambaavyo. Mungu akaona kuwa ni vyema.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Basi, Mungu akafanya aina zote za wanyama wa porini, wanyama wa kufugwa, na viumbe vitambaavyo. Mungu akaona kuwa ni vyema.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Mungu akafanya wanyama pori kulingana na aina zake, mifugo kulingana na aina zake, na viumbe vyote vinavyotambaa ardhini kulingana na aina zake. Mungu akaona kuwa hili ni jema.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Mwenyezi Mungu akafanya wanyama pori kulingana na aina zake, wanyama wa kufugwa kulingana na aina zake, na viumbe vyote vitambaavyo juu ya ardhi kulingana na aina zake. Mwenyezi Mungu akaona kuwa hili ni jema.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

25 Mungu akaumba aina zote za wanyama wa porini na wa kufugwa na viumbe vyote vitambaavyo juu ya nchi; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 1:25
9 Marejeleo ya Msalaba  

Wakafa watu wote waendao juu ya nchi, na ndege, na wanyama wa kufugwa, na kila mnyama wa mwitu, na kila kitambaacho chenye kutambaa juu ya nchi, na kila mwanadamu;


kila kitu chenye pumzi ya roho ya uhai puani mwake kikafa, kila kilichokuwako katika nchi kavu.


Lakini sasa waulize hao wanyama, nao watakufundisha; Na ndege wa angani, nao watakuambia;


Hizo mbingu hupambwa kwa roho yake; Mkono wake umemchoma nyoka aendaye mbio.


Sitanyamaa kusema habari za via vyake, Wala nguvu zake kuu, wala umbo lake zuri.


Mimi nimeiumba dunia hii, wanadamu na wanyama walio katika nchi, kwa uweza wangu mkuu, na kwa mkono wangu ulionyoshwa; nami nawapa watu kama inipendezavyo.


kwa kuwa kimetakaswa kwa neno la Mungu na kwa kuomba.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo