Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 1:18 - Swahili Revised Union Version

18 na kuutawala mchana na usiku na kutenga nuru na giza; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 ipate kutawala mchana na usiku, na kuutenga mwanga na giza. Mungu akaona kuwa ni vyema.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 ipate kutawala mchana na usiku, na kuutenga mwanga na giza. Mungu akaona kuwa ni vyema.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 ipate kutawala mchana na usiku, na kuutenga mwanga na giza. Mungu akaona kuwa ni vyema.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 itawale usiku na mchana, na ikatenganishe nuru na giza. Mungu akaona kuwa hili ni jema.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 itawale usiku na mchana, na ikatenganishe nuru na giza. Mwenyezi Mungu akaona kuwa hili ni jema.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 na kuutawala mchana na usiku na kutenga nuru na giza; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 1:18
3 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya nne.


Kuchomoza kwake ni katika mwisho wa mbingu, Na kuzunguka kwake ni hadi miisho ya mbingu, Wala hakuna kitu Kisichofikiwa na joto lake.


BWANA asema hivi, awapaye watu jua, ili kuwa nuru wakati wa mchana, na amri za mwezi na nyota, ili kuwa nuru wakati wa usiku, aichafuaye bahari, hata mawimbi yake yakavuma; BWANA wa majeshi, ndilo jina lake;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo