Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 1:3 - Swahili Revised Union Version

3 Mungu akasema, Iwe nuru; ikawa nuru.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Mungu akasema, “Mwanga uwe.” Mwanga ukawa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Mungu akasema, “Mwanga uwe.” Mwanga ukawa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Mungu akasema, “Mwanga uwe”, mwanga ukawa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Mungu akasema, “Iwepo nuru,” nayo nuru ikawepo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Mwenyezi Mungu akasema, “Iwepo nuru,” nayo nuru ikawepo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 Mungu akasema, Iwe nuru; ikawa nuru.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 1:3
22 Marejeleo ya Msalaba  

Hivyo ndivyo vizazi vya mbingu na nchi zilivyoumbwa. Siku ile BWANA Mungu alipoziumba mbingu na nchi


Tazama, yeye huutandaza mwanga wake, umzunguke; Naye hufunika vilindi vya bahari.


Iko wapi njia ya kuyafikia makao ya nuru? Na giza pia, mahali pake ni wapi?


Umejivika nuru kama vazi; Umezitandika mbingu kama pazia;


BWANA ndiye aliye Mungu, Naye ndiye aliyetupa nuru. Ifungeni dhabihu kwa kamba Pembeni mwa madhabahu.


Na vilisifu jina la BWANA, Kwa maana aliamuru, vikaumbwa.


Kwa neno la BWANA mbingu ziliumbwa, Na jeshi lake lote kwa pumzi ya kinywa chake.


Maana Yeye alisema, na ikawa; Na Yeye aliamuru, ikaumbika.


Nuru humwangazia mwenye haki, Na furaha ni kwa wanyofu wa moyo.


Mimi naiumba nuru, na kulihuluku giza; mimi nafanya suluhu, na kuhuluku ubaya; Mimi ni BWANA, niyatendaye hayo yote.


Jua halitakuwa nuru yako tena wakati wa mchana, Wala mwezi hautakupa nuru kwa mwangaza wake; Bali BWANA atakuwa nuru ya milele kwako, Na Mungu wako atakuwa utukufu wako.


Yesu akanyosha mkono, akamgusa, akisema Nataka; takasika. Na mara ukoma wake ukatakasika.


Nayo nuru yang'aa gizani, wala giza halikuiweza.


Kulikuwako Nuru halisi, amtiaye nuru kila mtu, akija katika ulimwengu.


Naye akiisha kusema hayo, akalia kwa sauti kuu, Lazaro, njoo huku nje.


Na hii ndiyo hukumu; ya kuwa nuru imekuja ulimwenguni, na watu wakapenda giza kuliko nuru; kwa maana matendo yao yalikuwa maovu.


Kwa kuwa Mungu, aliyesema, Nuru itang'aa toka gizani, ndiye aliyeng'aa mioyoni mwetu, atupe nuru ya elimu ya utukufu wa Mungu katika uso wa Yesu Kristo.


Hivyo husema, Amka, wewe usinziaye, Ufufuke katika wafu, Na Kristo atakuangaza.


Kwa maana zamani ninyi mlikuwa giza, bali sasa mmekuwa nuru katika Bwana; nendeni kama watoto wa nuru,


ambaye yeye peke yake hapatikani na mauti, amekaa katika nuru isiyoweza kukaribiwa; wala hakuna mwanadamu aliyewahi kumwona, wala awezaye kumwona. Heshima na uweza una yeye hata milele. Amina.


Na hii ndiyo habari tuliyoisikia kwake, na kuihubiri kwenu, ya kwamba Mungu ni nuru, wala giza lolote hamna ndani yake.


Tena nawaandikia amri mpya, neno lililo kweli ndani yake na ndani yenu; kwa kuwa giza linapita na ile nuru ya kweli imekwisha kung'aa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo