Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mhubiri 3:8 - Swahili Revised Union Version

Wakati wa kupenda, na wakati wa kuchukia; Wakati wa vita, na wakati wa amani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

wakati wa kupenda na wakati wa kuchukia; wakati wa vita na wakati wa amani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

wakati wa kupenda na wakati wa kuchukia; wakati wa vita na wakati wa amani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

wakati wa kupenda na wakati wa kuchukia; wakati wa vita na wakati wa amani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

wakati wa kupenda na wakati wa kuchukia, wakati wa vita na wakati wa amani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

wakati wa kupenda na wakati wa kuchukia, wakati wa vita na wakati wa amani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakati wa kupenda, na wakati wa kuchukia; Wakati wa vita, na wakati wa amani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mhubiri 3:8
19 Marejeleo ya Msalaba  

Ila leo BWANA, Mungu wangu, amenipa amani kila upande; hakuna adui, wala tukio baya.


Ikawa, Yoramu alipomwona Yehu, akasema, Je! Ni amani, Yehu? Akajibu, Amani gani, maadamu uzinzi wa mama yako Yezebeli na uchawi wake ni mwingi?


Yehu mwana wa Hanani mwonaji akatoka kwenda kumlaki, akamwambia mfalme Yehoshafati, Je! Imekupasa kuwasaidia waovu, na kuwapenda wamchukiao BWANA? Kwa ajili ya hayo ghadhabu itokayo kwa BWANA i juu yako.


Sitaweka mbele ya macho yangu Neno la uovu. Kazi yao waliopotoka naichukia, Haitaambatana nami.


Akawageuza moyo wawachukie watu wake, Wakawatendea hila watumishi wake.


Je! BWANA nisiwachukie wanaokuchukia? Nisiudhike nao watu wanaokuasi?


Mwenye haki huchukia kusema uongo; Bali mtu mbaya huwa karaha, hupatwa na aibu.


Basi, nilipopita karibu nawe, nikakutazama; tazama, wakati wako ulikuwa wakati wa upendo; nikatandika upindo wa vazi langu juu yako, nikakufunika uchi wako; naam, nilikuapia, nikafanya agano nawe, asema Bwana MUNGU, ukawa wangu.


Kama mtu akija kwangu naye hamchukii baba yake, na mama yake, na mke wake, na wanawe, na ndugu zake wa kiume na wa kike; naam, na hata nafsi yake mwenyewe, hawezi kuwa mwanafunzi wangu.


na kuujua upendo wake Kristo, upitao ufahamu kwa jinsi ulivyo mwingi, mpate kutimilika kwa utimilifu wote wa Mungu.


Enyi waume, wapendeni wake zenu, kama Kristo naye alivyolipenda kanisa, akajitoa kwa ajili yake;


ili wawatie wanawake vijana akili, wawapende waume zao, na kuwapenda watoto wao;


Basi Yoshua akaitwaa hiyo nchi yote, sawasawa na hayo yote BWANA aliyokuwa amemwambia Musa; Yoshua naye akawapa Israeli kuwa ni urithi wao, sawasawa na walivyogawanyikana kwa makabila yao. Kisha nchi ikatulia isiwe na vita tena.


Ninayajua matendo yako, na taabu yako, na subira yako, na ya kuwa huwezi kuchukuliana na watu wabaya, tena umewajaribu wale wanaojiita mitume, nao sio, ukawaona kuwa waongo;