Mhubiri 3:8 - Swahili Revised Union Version Wakati wa kupenda, na wakati wa kuchukia; Wakati wa vita, na wakati wa amani. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema wakati wa kupenda na wakati wa kuchukia; wakati wa vita na wakati wa amani. Biblia Habari Njema - BHND wakati wa kupenda na wakati wa kuchukia; wakati wa vita na wakati wa amani. Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza wakati wa kupenda na wakati wa kuchukia; wakati wa vita na wakati wa amani. Neno: Bibilia Takatifu wakati wa kupenda na wakati wa kuchukia, wakati wa vita na wakati wa amani. Neno: Maandiko Matakatifu wakati wa kupenda na wakati wa kuchukia, wakati wa vita na wakati wa amani. BIBLIA KISWAHILI Wakati wa kupenda, na wakati wa kuchukia; Wakati wa vita, na wakati wa amani. |
Ikawa, Yoramu alipomwona Yehu, akasema, Je! Ni amani, Yehu? Akajibu, Amani gani, maadamu uzinzi wa mama yako Yezebeli na uchawi wake ni mwingi?
Yehu mwana wa Hanani mwonaji akatoka kwenda kumlaki, akamwambia mfalme Yehoshafati, Je! Imekupasa kuwasaidia waovu, na kuwapenda wamchukiao BWANA? Kwa ajili ya hayo ghadhabu itokayo kwa BWANA i juu yako.
Sitaweka mbele ya macho yangu Neno la uovu. Kazi yao waliopotoka naichukia, Haitaambatana nami.
Basi, nilipopita karibu nawe, nikakutazama; tazama, wakati wako ulikuwa wakati wa upendo; nikatandika upindo wa vazi langu juu yako, nikakufunika uchi wako; naam, nilikuapia, nikafanya agano nawe, asema Bwana MUNGU, ukawa wangu.
Kama mtu akija kwangu naye hamchukii baba yake, na mama yake, na mke wake, na wanawe, na ndugu zake wa kiume na wa kike; naam, na hata nafsi yake mwenyewe, hawezi kuwa mwanafunzi wangu.
na kuujua upendo wake Kristo, upitao ufahamu kwa jinsi ulivyo mwingi, mpate kutimilika kwa utimilifu wote wa Mungu.
Enyi waume, wapendeni wake zenu, kama Kristo naye alivyolipenda kanisa, akajitoa kwa ajili yake;
Basi Yoshua akaitwaa hiyo nchi yote, sawasawa na hayo yote BWANA aliyokuwa amemwambia Musa; Yoshua naye akawapa Israeli kuwa ni urithi wao, sawasawa na walivyogawanyikana kwa makabila yao. Kisha nchi ikatulia isiwe na vita tena.
Ninayajua matendo yako, na taabu yako, na subira yako, na ya kuwa huwezi kuchukuliana na watu wabaya, tena umewajaribu wale wanaojiita mitume, nao sio, ukawaona kuwa waongo;