Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mhubiri 10:3 - Swahili Revised Union Version

Naam, huyo mpumbavu tena, aendapo njiani, hupungukiwa na fahamu zake; hata humwambia kila mtu ya kuwa yeye ni mpumbavu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hata apitapo njiani, mpumbavu hutambulikana hivyo, humjulisha kila mtu kwamba yeye ni mpumbavu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hata apitapo njiani, mpumbavu hutambulikana hivyo, humjulisha kila mtu kwamba yeye ni mpumbavu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hata apitapo njiani, mpumbavu hutambulikana hivyo, humjulisha kila mtu kwamba yeye ni mpumbavu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hata anapotembea barabarani, mpumbavu hukosa ufahamu na kudhihirisha kwa kila mmoja jinsi alivyo mpumbavu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hata anapotembea barabarani, mpumbavu hukosa ufahamu na kudhihirisha kwa kila mmoja jinsi alivyo mpumbavu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naam, huyo mpumbavu tena, aendapo njiani, hupungukiwa na fahamu zake; hata humwambia kila mtu ya kuwa yeye ni mpumbavu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mhubiri 10:3
5 Marejeleo ya Msalaba  

Kila aliye na busara hutenda kazi kwa maarifa; Bali mpumbavu hueneza upumbavu.


Mpumbavu hapendezwi na ufahamu; Ila moyo wake udhihirike tu.


Midomo ya mpumbavu huingia katika fitina, Na kinywa chake huita mapigo.


Kwa maana ndoto huja kwa sababu ya shughuli nyingi; na sauti ya mpumbavu kwa njia ya wingi wa maneno.


mambo ambayo wao huona kuwa ni ajabu ya ninyi kutokwenda mbio pamoja nao katika ufisadi ule ule usio na kiasi, wakiwatukana.