Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 9:4 - Swahili Revised Union Version

Kila aliye mjinga na aingie humu. Tena amwambia mtu aliyepungukiwa na akili,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Yeyote aliye mjinga na aje hapa!” Na yeyote aliye mpumbavu humwambia:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Yeyote aliye mjinga na aje hapa!” Na yeyote aliye mpumbavu humwambia:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Yeyote aliye mjinga na aje hapa!” Na yeyote aliye mpumbavu humwambia:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Anawaambia wale wasio na akili, “Wote ambao ni wajinga na waje hapa!

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Anawaambia wale wasio na akili, “Wote ambao ni wajinga na waje hapa!

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kila aliye mjinga na aingie humu. Tena amwambia mtu aliyepungukiwa na akili,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 9:4
11 Marejeleo ya Msalaba  

Kufafanuliwa kwa maneno yako kunatia nuru, Na kumfahamisha mjinga.


Sheria ya BWANA ni kamilifu, Huiburudisha nafsi. Ushuhuda wa BWANA ni amini, Humtia hekima mtu asiye nayo.


Enyi wajinga, hata lini mtapenda ujinga? Na wenye dharau kupenda dharau yao, Na wapumbavu kuchukia maarifa?


Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.


Nikaona katikati ya wajinga, Nikamtambua miongoni mwa vijana, Kijana mmoja asiyekuwa na akili,


Enyi wajinga, fahamuni werevu, Nanyi wapumbavu, mpate moyo wa kufahamu.


Kila aliye mjinga na aingie humu. Tena amwambia mtu aliyepungukiwa na akili,


Na hapo patakuwa na njia kuu, na njia, nayo itaitwa, Njia ya utakatifu; wasio safi hawatapita juu yake; bali itakuwa kwa ajili ya watu hao; wasafirio, wajapokuwa wajinga, hawatapotea katika njia hiyo.


Wakati ule Yesu akajibu, akasema, Nakushukuru, Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa mambo haya uliwaficha wenye hekima na akili, ukawafunulia watoto wachanga.


Roho na Bibi arusi wasema, Njoo! Naye asikiaye na aseme, Njoo! Naye mwenye kiu na aje; na yeye atakaye, na ayatwae maji ya uzima bure.