Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 9:18 - Swahili Revised Union Version

Lakini huyo hajui ya kuwa wafu wamo humo; Ya kuwa wageni wake wamo chini kuzimuni.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini mjinga hajui kwamba humo mna wafu, wageni wa mwanamke huyo wamo chini Kuzimu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini mjinga hajui kwamba humo mna wafu, wageni wa mwanamke huyo wamo chini Kuzimu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini mjinga hajui kwamba humo mna wafu, wageni wa mwanamke huyo wamo chini Kuzimu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini hawajui hata kidogo kuwa wafu wako humo, kwamba wageni wake huyo mwanamke wako katika vilindi vya Kuzimu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini hawajui hata kidogo kuwa wafu wako humo, kwamba wageni wake huyo mwanamke wako katika vilindi vya kuzimu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini huyo hajui ya kuwa wafu wamo humo; Ya kuwa wageni wake wamo chini kuzimuni.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 9:18
9 Marejeleo ya Msalaba  

Hawajui wala hawafahamu, hutembea gizani; Misingi yote ya nchi imetikisika.


Maana kurudi nyuma kwao wajinga kutawaua, Na kufanikiwa kwao wapumbavu kutawaangamiza.


Kumcha BWANA ni chanzo cha maarifa, Bali wapumbavu hudharau hekima na adabu.


Miguu yake inateremkia mauti; Hatua zake zinashikamana na kuzimu;


Maana kwa malaya mtu hutiwa katika hali ya kuhitaji kipande cha mkate; Na kahaba humwinda mtu anase nafsi yake iliyo ya thamani


Maana amewaangusha wengi aliowajeruhi, Naam, jumla ya waliouawa naye ni wengi.


Nyumba yake ni njia ya kwenda kuzimu, Hushuka mpaka vyumba vya mauti.


Maana hufumba macho yao wasione neno hili ya kuwa zilikuwako mbingu tangu zamani, na nchi pia, imefanyizwa kutoka katika maji, na ndani ya maji, kwa neno la Mungu;