Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 8:5 - Swahili Revised Union Version

Enyi wajinga, fahamuni werevu, Nanyi wapumbavu, mpate moyo wa kufahamu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Enyi wajinga, jifunzeni kuwa na akili; sikilizeni kwa makini enyi wapumbavu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Enyi wajinga, jifunzeni kuwa na akili; sikilizeni kwa makini enyi wapumbavu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Enyi wajinga, jifunzeni kuwa na akili; sikilizeni kwa makini enyi wapumbavu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ninyi ambao ni wajinga, pateni akili; ninyi mlio wapumbavu, pateni ufahamu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ninyi ambao ni wajinga, pateni akili; ninyi mlio wapumbavu, pateni ufahamu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Enyi wajinga, fahamuni werevu, Nanyi wapumbavu, mpate moyo wa kufahamu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 8:5
15 Marejeleo ya Msalaba  

Sheria ya BWANA ni kamilifu, Huiburudisha nafsi. Ushuhuda wa BWANA ni amini, Humtia hekima mtu asiye nayo.


Enyi wajinga miongoni mwa watu, fikirini; Enyi wapumbavu, lini mtakapopata akili?


Enyi wajinga, hata lini mtapenda ujinga? Na wenye dharau kupenda dharau yao, Na wapumbavu kuchukia maarifa?


Maana kurudi nyuma kwao wajinga kutawaua, Na kufanikiwa kwao wapumbavu kutawaangamiza.


Kuwapa wajinga werevu, na kijana maarifa na tahadhari;


Wenye hekima wataurithi utukufu, Bali kukuzwa kwa wapumbavu ni fedheha.


Mimi, hekima, nimefanya werevu kuwa makao yangu; Natafuta maarifa na busara.


Enyi watu, nawaita ninyi; Na sauti yangu ni kwa wanadamu.


Kila aliye mjinga na aingie humu. Tena amwambia mtu aliyepungukiwa na akili,


BWANA atatokea kama shujaa; Ataamsha wivu kama mtu wa vita; Atalia, naam, atapiga kelele; Atawatenda adui zake mambo makuu.


uwafumbue macho yao, na kuwageuza waiache giza na kuielekea nuru, waziache na nguvu za Shetani na kumwelekea Mungu; kisha wapate msamaha wa dhambi zao, na urithi miongoni mwao waliotakaswa kwa imani iliyo kwangu mimi.


tena Mungu alivichagua vitu vinyonge vya dunia na vilivyodharauliwa, naam, vitu ambavyo haviko, ili avibatilishe vile vilivyoko;