Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 4:8 - Swahili Revised Union Version

Umtukuze, naye atakukuza; Atakupatia heshima, ukimkumbatia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mthamini sana Hekima, naye atakutukuza; ukimshikilia atakupa heshima.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mthamini sana Hekima, naye atakutukuza; ukimshikilia atakupa heshima.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mthamini sana Hekima, naye atakutukuza; ukimshikilia atakupa heshima.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mstahi, naye atakukweza; mkumbatie, naye atakuheshimu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mstahi, naye atakukweza; mkumbatie, naye atakuheshimu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Umtukuze, naye atakukuza; Atakupatia heshima, ukimkumbatia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 4:8
7 Marejeleo ya Msalaba  

Thawabu ya unyenyekevu ambao ni kumcha BWANA Ni utajiri, na heshima, nayo ni uzima.


Ana wingi wa siku katika mkono wake wa kulia, Utajiri na heshima katika mkono wake wa kushoto.


Wenye hekima wataurithi utukufu, Bali kukuzwa kwa wapumbavu ni fedheha.


Mkono wake wa kushoto uko chini ya kichwa changu, Nao wa kulia unanikumbatia!


Na walio na hekima watang'aa kama mwangaza wa anga; na hao waongozao wengi kutenda haki watang'aa kama nyota milele na milele.


Kwa sababu hiyo, BWANA, Mungu wa Israeli, asema, Ni kweli, nilisema ya kuwa nyumba yako, na nyumba ya baba yako itakwenda mbele zangu milele; lakini sasa BWANA asema, Jambo hili na liwe mbali nami; kwa maana wao wanaoniheshimu nitawaheshimu, na wao wanaonidharau nitawadharau.