Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 4:7 - Swahili Revised Union Version

Bora hekima, basi jipatie hekima; Naam, kwa mapato yako yote jipatie ufahamu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Jambo la msingi ni kujipatia hekima; toa vyote ulivyonavyo ujipatie akili.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Jambo la msingi ni kujipatia hekima; toa vyote ulivyonavyo ujipatie akili.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Jambo la msingi ni kujipatia hekima; toa vyote ulivyonavyo ujipatie akili.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hekima ni bora kuliko vitu vyote; kwa hiyo jipe hekima. Hata ikikugharimu vyote ulivyo navyo, pata ufahamu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hekima ni bora kuliko vitu vyote; kwa hiyo jipe hekima. Hata ikikugharimu vyote ulivyo navyo, pata ufahamu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Bora hekima, basi jipatie hekima; Naam, kwa mapato yako yote jipatie ufahamu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 4:7
18 Marejeleo ya Msalaba  

Basi sasa nipe hekima na maarifa, nijue kutoka na kuingia mbele ya watu hawa; kwa kuwa ni nani awezaye kuwatawala watu wako hawa walio wengi?


Kwa mausia yako najipatia ufahamu, Ndiyo maana naichukia kila njia ya uongo.


Si afadhali kupata hekima kuliko dhahabu? Naam, yafaa kuchagua ufahamu kuliko fedha.


Ukiutafuta kama fedha, Na kuutafutia kama hazina iliyositirika;


Kupata akiba ya mali kwa ulimi wa uongo Ni moshi upeperushwao; ni kutafuta mauti.


Inunue kweli, wala usiiuze; Naam, hekima, na mafundisho, na ufahamu.


Jipatie hekima, jipatie ufahamu; usiusahau; Wala usiyakatae maneno ya kinywa changu.


Nilitukuka tokea milele, tangu awali, Kabla haijakuwako dunia.


Kuna mtu aliye peke yake, wala hana mwenzi wake; naam, hana mwana wala ndugu; hata hivyo amali yake haina mwisho, wala macho yake hayashibi utajiri. Basi asema, Ni kwa ajili ya nani nafanya kazi, na kujinyima nafsi yangu mema? Hayo nayo ni ubatili, naam, ni taabu kubwa.


Kwa maana ulinzi wa hekima ni kama ulinzi wa fedha na ubora wa maarifa ni kwamba hekima humhifadhi yeye aliye nayo.


lakini kinatakiwa kitu kimoja tu; na Mariamu amelichagua fungu lililo jema, ambalo hatanyang'anywa.


Lakini Mungu akamwambia, Mpumbavu wewe, usiku huu wa leo wanataka roho yako! Na vitu ulivyojiwekea tayari vitakuwa vya nani?


Naam, zaidi ya hayo, nayahesabu mambo yote kuwa hasara kwa ajili ya uzuri usio na kiasi wa kumjua Kristo Yesu, Bwana wangu; ambaye kwa ajili yake nimepata hasara ya mambo yote nikiyahesabu kuwa kama mavi ili nipate Kristo;