Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 31:3 - Swahili Revised Union Version

Usiwape wanawake nguvu zako; Wala moyo wako usiwape wale wanaowaharibu wafalme.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Usimalize nguvu zako kwa wanawake, usiwape mali yako hao wanaoangamiza wafalme.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Usimalize nguvu zako kwa wanawake, usiwape mali yako hao wanaoangamiza wafalme.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Usimalize nguvu zako kwa wanawake, usiwape mali yako hao wanaoangamiza wafalme.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Usitumie nguvu zako kwa wanawake, uhodari wako kwa wale wanaowaharibu wafalme.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

usitumie nguvu zako kwa wanawake, uhodari wako kwa wale wanaowaharibu wafalme.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Usiwape wanawake nguvu zako; Wala moyo wako usiwape wale wanaowaharibu wafalme.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 31:3
6 Marejeleo ya Msalaba  

Mfalme Sulemani akawapenda wanawake wengi wageni, pamoja na binti yake Farao, wanawake wa Wamoabi, na wa Waamoni, na wa Waedomi, na wa Wasidoni, na wa Wahiti,


Je! Sulemani, mwana wa Daudi, hakufanya dhambi kwa kutenda hayo? Lakini katika mataifa mengi hapakuwa na mfalme mwingine mfano wake. Tena alipendwa na Mungu wake, naye Mungu akamfanya mfalme juu ya Israeli; lakini wanawake wageni walimkosesha hata yeye.


Uzinzi na divai mpya huondoa fahamu za wanadamu.


Wala asijizidishie wake, ili moyo wake usikengeuke; wala asifanye fedha zake na dhahabu kuwa nyingi mno.