Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 3:34 - Swahili Revised Union Version

Hakika yake huwadharau wenye dharau, Bali huwapa wanyenyekevu neema.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yeye huwadharau wenye dharau, lakini huwafadhili wanyenyekevu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yeye huwadharau wenye dharau, lakini huwafadhili wanyenyekevu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yeye huwadharau wenye dharau, lakini huwafadhili wanyenyekevu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Huwadhihaki wale wanaodhihaki, lakini huwapa neema wale wanyenyekevu na walioonewa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Huwadhihaki wale wanaodhihaki, lakini huwapa neema wale wanyenyekevu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hakika yake huwadharau wenye dharau, Bali huwapa wanyenyekevu neema.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 3:34
12 Marejeleo ya Msalaba  

Ingawa BWANA yuko juu, anamjali mnyenyekevu, Naye amjua mwenye kujivuna tokea mbali.


Kwake ajitakasaye utajionesha kuwa mtakatifu; Na kwa mpotovu utajionesha kuwa mkaidi.


Mimi nami nitacheka siku ya msiba wenu, Nitadhihaki hofu yenu ifikapo;


Wapumbavu huidharau hatia; Bali upo upendeleo kwa wenye haki.


Afadhali kuwa na roho ya unyenyekevu pamoja na maskini, Kuliko kugawanya nyara pamoja na wenye kiburi.


Hukumu zimewekwa tayari kwa wenye mzaha; Na mapigo kwa mgongo wa wapumbavu.


Mwenye kiburi na kutakabari, jina lake ni mbishi; Hutenda mambo katika majivuno ya kiburi chake.


Kama una hekima, una hekima kwa nafsi yako; Na kama una dharau, utaichukua peke yako.


Maana yeye aliye juu, aliyetukuka, akaaye milele; ambaye jina lake ni Mtakatifu; asema hivi; Nakaa mimi mahali palipoinuka, palipo patakatifu; tena pamoja na yeye aliye na roho iliyotubu na kunyenyekea, ili kuzifufua roho za wanyenyekevu, na kuifufua mioyo yao waliotubu.


Lakini hutujalia sisi neema iliyozidi; kwa hiyo husema, Mungu huwapinga wajikuzao, bali huwapa neema wanyenyekevu.


Vivyo hivyo ninyi vijana, watiini wazee. Naam, ninyi nyote jifungeni unyenyekevu, mpate kuhudumiana; kwa sababu Mungu huwapinga wenye kiburi, lakini huwapa wanyenyekevu neema.