Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 3:12 - Swahili Revised Union Version

Kwa kuwa BWANA ampendaye humrudi, Kama vile baba mwanawe ampendezaye.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

maana Mwenyezi-Mungu humwonya yule ampendaye, kama baba amwonyavyo mwanawe mpenzi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

maana Mwenyezi-Mungu humwonya yule ampendaye, kama baba amwonyavyo mwanawe mpenzi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

maana Mwenyezi-Mungu humwonya yule ampendaye, kama baba amwonyavyo mwanawe mpenzi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kwa sababu Mwenyezi Mungu huwaadibisha wale anaowapenda, kama vile baba afanyavyo kwa mwana apendezwaye naye.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kwa sababu bwana huwaadibisha wale awapendao, kama vile baba afanyavyo kwa mwana apendezwaye naye.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa kuwa BWANA ampendaye humrudi, Kama vile baba mwanawe ampendezaye.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 3:12
7 Marejeleo ya Msalaba  

Kama vile baba awahurumiavyo watoto wake, Ndivyo BWANA anavyowahurumia wamchao.


Ee BWANA, heri mtu yule umwadibuye, Na kumfundisha kwa sheria yako;


Yeye asiyetumia fimbo yake humchukia mwanawe; Bali yeye ampendaye humrudi mapema.


Mrudi mwanao naye atakustarehesha; Naam, atakufurahisha nafsi yako.


Nawe fikiri moyoni mwako, ya kuwa kama vile baba amrudivyo mwanawe, ndivyo BWANA, Mungu wako, akurudivyo.


Maana yeye ambaye Bwana ampenda, humuonya Naye humpiga kila mwana amkubaliye.


Wote niwapendao mimi nawakemea, na kuwarudi; basi uwe na bidii, ukatubu.