Waebrania 12:6 - Swahili Revised Union Version6 Maana yeye ambaye Bwana ampenda, humuonya Naye humpiga kila mwana amkubaliye. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Maana Bwana humpa nidhamu kila anayempenda, humwadhibu kila anayekubali kuwa mwanawe.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Maana Bwana humpa nidhamu kila anayempenda, humwadhibu kila anayekubali kuwa mwanawe.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Maana Bwana humpa nidhamu kila anayempenda, humwadhibu kila anayekubali kuwa mwanawe.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 kwa sababu Mwenyezi Mungu huwaadibisha wale anaowapenda, na humwadhibu kila mmoja anayemkubali kuwa mwana.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 kwa sababu Mwenyezi Mungu huwaadibisha wale awapendao, na humwadhibu kila mmoja anayemkubali kuwa mwana.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI6 Maana yeye ambaye Bwana ampenda, humrudi, Naye humpiga kila mwana amkubaliye. Tazama sura |