Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Waebrania 12:6 - Swahili Revised Union Version

6 Maana yeye ambaye Bwana ampenda, humuonya Naye humpiga kila mwana amkubaliye.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Maana Bwana humpa nidhamu kila anayempenda, humwadhibu kila anayekubali kuwa mwanawe.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Maana Bwana humpa nidhamu kila anayempenda, humwadhibu kila anayekubali kuwa mwanawe.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Maana Bwana humpa nidhamu kila anayempenda, humwadhibu kila anayekubali kuwa mwanawe.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 kwa sababu Mwenyezi Mungu huwaadibisha wale anaowapenda, na humwadhibu kila mmoja anayemkubali kuwa mwana.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 kwa sababu Mwenyezi Mungu huwaadibisha wale awapendao, na humwadhibu kila mmoja anayemkubali kuwa mwana.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 Maana yeye ambaye Bwana ampenda, humrudi, Naye humpiga kila mwana amkubaliye.

Tazama sura Nakili




Waebrania 12:6
19 Marejeleo ya Msalaba  

Mimi nitakuwa baba yake, naye atakuwa mwanangu; akitenda maovu nitamwadhibu kwa fimbo ya binadamu na kwa mapigo ya wanadamu;


Ilikuwa vema kwangu kuwa niliteswa, Nipate kujifunza amri zako.


Najua ya kuwa hukumu zako ni za haki, Ee BWANA, na kwa uaminifu umenitesa.


Ee BWANA, heri mtu yule umwadibuye, Na kumfundisha kwa sheria yako;


Yeye asiyetumia fimbo yake humchukia mwanawe; Bali yeye ampendaye humrudi mapema.


Mwanangu, usidharau kuadhibiwa na BWANA, Wala usione ni taabu kurudiwa naye.


Kwa kuwa BWANA ampendaye humrudi, Kama vile baba mwanawe ampendezaye.


Basi, uovu wa Yakobo utatakaswa hivyo, na hayo ndiyo matunda yote ya kumwondolea dhambi yake; afanyapo mawe yote ya madhabahu kuwa kama mawe ya chokaa yaliyopondwa, hata maashera na sanamu za jua havitasimama tena.


Ee BWANA, unirudi kwa haki; si kwa hasira yako, usije ukaniangamiza.


Mbona anung'unika mwanadamu aliye hai Mtu akiadhibiwa kwa dhambi zake?


Nawe fikiri moyoni mwako, ya kuwa kama vile baba amrudivyo mwanawe, ndivyo BWANA, Mungu wako, akurudivyo.


Heri mtu astahimiliye majaribu; kwa sababu akiisha kukubaliwa ataipokea taji la uzima, Bwana aliyowaahidia wampendao.


Angalieni, twawaita heri wao waliostahimili. Mmesikia habari za kustahimili kwake Ayubu, kuona mwisho Bwana aliyomtendea, jinsi Bwana alivyo mwingi wa rehema na mwenye huruma.


Wote niwapendao mimi nawakemea, na kuwarudi; basi uwe na bidii, ukatubu.


Akafa Elimeleki, mumewe Naomi; na yule mwanamke akasalia na wanawe wawili.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo