Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 29:13 - Swahili Revised Union Version

Maskini na mdhalimu hukutana pamoja; BWANA huwatia nuru macho yao wote wawili.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maskini na mkandamizaji wanafanana kwa kitu kimoja: Wote wawili wamepewa macho na Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maskini na mkandamizaji wanafanana kwa kitu kimoja: Wote wawili wamepewa macho na Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maskini na mkandamizaji wanafanana kwa kitu kimoja: wote wawili wamepewa macho na Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mtu maskini na mtu mdhalimu wanafanana kwa jambo hili: Mwenyezi Mungu hutia nuru macho yao wote wawili.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mtu maskini na mtu anayeonea wanafanana kwa jambo hili: bwana hutia nuru macho yao wote wawili.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maskini na mdhalimu hukutana pamoja; BWANA huwatia nuru macho yao wote wawili.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 29:13
10 Marejeleo ya Msalaba  

Na sasa kwa muda kidogo tumeneemeshwa na BWANA, Mungu wetu, hata akatuachia mabaki yaokoke, akatupa msumari katika mahali pake patakatifu. Mungu wetu atutie nuru machoni mwetu, tuburudike kidogo katika kufungwa kwetu.


Ee BWANA, Mungu wangu, uangalie, uniitikie; Uyatie nuru macho yangu, Nisije nikalala usingizi wa mauti.


Tajiri na maskini hukutana pamoja; BWANA ndiye aliyewaumba wote wawili.


ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni; maana yeye huwaangazia jua lake waovu na wema, huwanyeshea mvua wenye haki na wasio haki.


Naye Yesu alipokuwa akipita kutoka huko aliona mtu ameketi forodhani, aitwaye Mathayo, akamwambia, Nifuate. Akaondoka, akamfuata.


wala wezi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.


Nanyi mlikuwa wafu kwa sababu ya makosa na dhambi zenu;