Zaburi 13:3 - Swahili Revised Union Version3 Ee BWANA, Mungu wangu, uangalie, uniitikie; Uyatie nuru macho yangu, Nisije nikalala usingizi wa mauti. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Uniangalie na kunijibu, ee Mwenyezi-Mungu, Mungu wangu. Uyaangazie macho yangu, nisipatwe na usingizi wa kifo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Uniangalie na kunijibu, ee Mwenyezi-Mungu, Mungu wangu. Uyaangazie macho yangu, nisipatwe na usingizi wa kifo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Uniangalie na kunijibu, ee Mwenyezi-Mungu, Mungu wangu. Uyaangazie macho yangu, nisipatwe na usingizi wa kifo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Nitazame, unijibu, Ee Mwenyezi Mungu, Mungu wangu. Yatie nuru macho yangu, ama sivyo nitalala usingizi wa mauti. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Nitazame, unijibu, Ee bwana Mwenyezi Mungu wangu. Yatie nuru macho yangu, ama sivyo nitalala usingizi wa mauti. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI3 Ee BWANA, Mungu wangu, uangalie, uniitikie; Uyatie nuru macho yangu, Nisije nikalala usingizi wa mauti. Tazama sura |