Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 27:6 - Swahili Revised Union Version

Majeraha utiwazo na rafiki ni ya kweli; Bali busu la adui ni udanganyifu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Makaripio ya rafiki yaonesha uaminifu, lakini busu la adui ni udanganyifu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Makaripio ya rafiki yaonesha uaminifu, lakini busu la adui ni udanganyifu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Makaripio ya rafiki yaonesha uaminifu, lakini busu la adui ni udanganyifu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Majeraha kutoka kwa rafiki yaonesha uaminifu, lakini adui huzidisha busu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Majeraha kutoka kwa rafiki yaonyesha uaminifu, bali kubusu kwa adui ni kwingi sana.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Jeraha utiwazo na rafiki ni amani; Bali busu la adui ni udanganyifu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 27:6
12 Marejeleo ya Msalaba  

Mwenye haki na anipige, itakuwa fadhili; Anikemee, itakuwa kama mafuta kichwani; Kichwa changu kisikatae, Maana siachi kusali kati ya mabaya yao.


Yeye afichaye chuki ana midomo ya uongo, Na yeye asingiziaye ni mpumbavu.


Machubuko ya fimbo husafisha uovu, Na mapigo hufikia ndani ya mtima.


Nafsi iliyoshiba hukinai sega la asali; Bali nafsi yenye njaa huona kila kitu kichungu kuwa kitamu.


Amkemeaye mwenzake hatimaye atapata kibali; Zaidi ya mtu ajipendekezaye kwa ulimi wake.


Maana ni hakika, hao kwa siku chache waliturudi kama walivyoona vema wenyewe; bali yeye kwa faida yetu, ili tuushiriki utakatifu wake.


Wote niwapendao mimi nawakemea, na kuwarudi; basi uwe na bidii, ukatubu.