Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 20:30 - Swahili Revised Union Version

30 Machubuko ya fimbo husafisha uovu, Na mapigo hufikia ndani ya mtima.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Mapigo yanayoumiza ni dawa ya kuondoa uovu; viboko husafisha nafsi mpaka ndani kabisa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Mapigo yanayoumiza ni dawa ya kuondoa uovu; viboko husafisha nafsi mpaka ndani kabisa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Mapigo yanayoumiza ni dawa ya kuondoa uovu; viboko husafisha nafsi mpaka ndani kabisa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Mapigo na majeraha huusafisha ubaya, nayo michapo hutakasa utu wa ndani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Mapigo na majeraha huusafisha ubaya, nayo michapo hutakasa utu wa ndani.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

30 Machubuko ya fimbo husafisha uovu, Na mapigo hufikia ndani ya mtima.

Tazama sura Nakili




Methali 20:30
8 Marejeleo ya Msalaba  

Basi, nitawarudi makosa yao kwa fimbo, Na uovu wao kwa mapigo.


Mpige mwenye mzaha, na mjinga atapata busara; Mwonye mwenye ufahamu, naye atatambua maarifa.


Ujinga umefungwa ndani ya moyo wa mtoto; Lakini fimbo ya adhabu itaufukuzia mbali.


Majeraha utiwazo na rafiki ni ya kweli; Bali busu la adui ni udanganyifu.


Basi, uovu wa Yakobo utatakaswa hivyo, na hayo ndiyo matunda yote ya kumwondolea dhambi yake; afanyapo mawe yote ya madhabahu kuwa kama mawe ya chokaa yaliyopondwa, hata maashera na sanamu za jua havitasimama tena.


Bali alijeruhiwa kwa makosa yetu, Alichubuliwa kwa maovu yetu; Adhabu ya amani yetu ilikuwa juu yake, Na kwa kupigwa kwake sisi tumepona.


Maana ni hakika, hao kwa siku chache waliturudi kama walivyoona vema wenyewe; bali yeye kwa faida yetu, ili tuushiriki utakatifu wake.


Yeye mwenyewe alizichukua dhambi zetu katika mwili wake juu ya mti, tukiwa wafu kwa mambo ya dhambi, tuwe hai kwa mambo ya haki; na kwa kupigwa kwake mliponywa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo